Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
Hapana,hilo ni tatizo la canals za masikioniDaaah .
Daaah Mimi napepesuka tuuh ata nisipo fumba macho yani nikiwa natembea tuuh kawaida nakoswa balance.
Sasa Kuna jamaa mmoja ananitisha Apa ananiambia labda uvimbe kwenye ubongo duuuh
Moja ina pressure zaidi ya lingine
Nenda hospitalini utapona