micind
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 342
- 867
Habari zenu wanajukwaa,
Leo alfajiri nimeamka nikashangaa puani yanatoka majimaji Kama vile nosebleed lakini badala ya damu yametoka maji hayana harufu Wala hakuna maumivu puani lakini kichwa ndio kinauma Sana upande wa kushoto hiyo Hali imetokea Mara tatu ndani ya masaa sita,ikabidi niende hospitali nikapimwa full blood picture nikaonekana nina anaemia na pia daktari akasema inawezekana nina infection kichwani kwenye sehemu ya paji la uso (sinusitis) nikapewa dawa inaitwa cefpodoxime proxetil.
Tafadhali naomba msaada kwa aliyewahi kupata tatizo Kama langu alipata diagnosis gani kwa sababu hii Hali imenikosesha amani na pia daktari aliguess tu hiyo diagnosis baada ya vipimo vyote kuja negative na fbp kuonesha Nina anemia tu akaniambia nitumie hiyo dawa kwa siku tano Hali isipobadilika nirudi . Sasa wataalam naomba kujua mtu kutoa maji hivyo puani maana yake nini.
Asanteni.
Leo alfajiri nimeamka nikashangaa puani yanatoka majimaji Kama vile nosebleed lakini badala ya damu yametoka maji hayana harufu Wala hakuna maumivu puani lakini kichwa ndio kinauma Sana upande wa kushoto hiyo Hali imetokea Mara tatu ndani ya masaa sita,ikabidi niende hospitali nikapimwa full blood picture nikaonekana nina anaemia na pia daktari akasema inawezekana nina infection kichwani kwenye sehemu ya paji la uso (sinusitis) nikapewa dawa inaitwa cefpodoxime proxetil.
Tafadhali naomba msaada kwa aliyewahi kupata tatizo Kama langu alipata diagnosis gani kwa sababu hii Hali imenikosesha amani na pia daktari aliguess tu hiyo diagnosis baada ya vipimo vyote kuja negative na fbp kuonesha Nina anemia tu akaniambia nitumie hiyo dawa kwa siku tano Hali isipobadilika nirudi . Sasa wataalam naomba kujua mtu kutoa maji hivyo puani maana yake nini.
Asanteni.