Huu ni mfano bora wa mtafutaji, lakini yaweza kuwa ni kitisho kwake.Mwaka fulani, nilipoteza kazi nikiwa sina chochote! Nyumbani kwetu kuna nyumba kubwa sana, na kwavile watoto wote ni wakubwa (the youngest is now 26), karibu, except huyu dogo, wana "kwako"! Hata huyu dogo bado yupo home kwavile, as a big brother, nilimwambia asitoke lakini uwezo wa kupanga anao! Ninachotaka kusema ni kwamba, ingawaje nyumba ni kubwa sana lakini ilikuwa inaishi baba, mama, mfanyakazi wa ndani, na huyu dogo huku chumba kimoja na sebule (uani) kukiwa hakuna mtu, na chumba kimoja wakaamua kuweka kuku kwavile na chenyewe kilikuwa hakina kitu! Aidha, kulikuwa na banda lingine kubwa la uani (upande mwingine wa nyumba) ambako walikuwa wanaishi wapangaji ambao ni MMOJA TU ndie alikuwa analipa kodi kwa wakati! Wengine wote walikuwa na sifa ya kutimuliwa!!!
Unaona jinsi ambavyo nilikuwa na "utajiri" wa makazi?! Lakini pamoja na yote hayo, nikagoma katakata kurudi home kwenye nyumba ya bure! Nilichofanya ni kuuza pikipiki yangu na kwenda kupanda sehemu iliyokuwa nafuu zaidi! Usidhani ilikuwa rahisi! Niliishi kwa shida SANA! Mlo mmoja ilikuwa kawaida! Nikipika chai, majani nilikuwa simwagi! Amini usiamini, sufuria ya chai ilibadilika rangi kutokana na kutoisafisha kwa hofu ya kumwaga majani! Mboga yangu ilikuwa maharage, na wala sikuwa na uhakika wa kuyapata! Niliachana na jiko la gesi na kuanza kutumia mafuta ya taa sababu ilikuwa ni rahisi kupata buku 2 ya mafuta ya taa kuliko 15K hadi 18K ya gesi! Si mara moja wala mara mbili kukaa na njaa lakini nikakomaa ingawaje wazazi wapo hai Dar, Sister wangu (hana mume) yupo hai Dar na ana nyumba yake, uncle wangu, yupo hai Dar na ana nyumba yake, Bro wangu akanipatia banda la uani pale kwake Charambe! Lakini kote huko NILIGOMA kwenda!
Leo sina cha kujivunia lakini naweza kulipa kodi ya mwaka mzima! Najua unajua huwezi kulipa kodi mwaka mzima wakati hauna uhakika wa kula!!!
Ninachotaka kusema ni kwamba, ONDOKA hapo unapotimuliwa! kapambane mtaani uingie akili! Huwezi kuwa kula kulala bure halafu ukapata akili ya ku-fight!!
Wana JF wenzangu, nilikuwa nimepanga maeneo ya Kimara miaka kadhaa iliyopita. Kutokana na changamoto ya maisha, kazi nilikuwa sina nikaenda kuishi kwa bamkubwa ili nijipange upya.
Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”.
Wakuu naombeni msaada wapi pakuanzia? Nifanye nini? Nianzie wapi?
Jiandae kuondoka tu kakupa muda wa kutosha tuuWana JF wenzangu, nilikuwa nimepanga maeneo ya Kimara miaka kadhaa iliyopita. Kutokana na changamoto ya maisha, kazi nilikuwa sina nikaenda kuishi kwa bamkubwa ili nijipange upya.
Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”.
Wakuu naombeni msaada wapi pakuanzia? Nifanye nini? Nianzie wapi?
Matumizi yake yameonesha hali kutengemaaUmemkosea nini bamkubwa?
Mwombe akuongezee mda uweze kujipanga.
Niliwahi kuishi kwa dadangu damu 1 alikua ameolewa...hahaa...jaman maisha haya ..walikua wakipika wenyewe wanaenda kulia chumban na mumewe...nilikua nachota maji najaza pipa 2 ..lakini hom kwetu ni kila kona wafanyakazi..nilikonda kwakweli.inahitaji wito mno!sipend hayo maisha tenaMkuu ukikaa Kwa watu , Kwa bro , au Kwa sista ,au Kwa ndug yyte hata rafk tuu, jitahd uwe mpole kabisa , yaan wew uwe Mzee wa Yes , jali mambo yako tuu....!!
Yaan hata kuleta marafk hapo home acha, kutongoza mfanyakaz usijarbu kabisa , na usiwe na mazoea saaana nao ..... Na uwe na furaha always , usinung'unike chakula sjui nn , wakikupa kazi fanya Kwa furaha...issue zako zikikaa Sawa unaamsha sasa
Kuishi Kwa ndugu ni kipaji , unakuwa kama kabati 😋 Leo linageuzwa hv , Kesho vile zaidi ya hapo lazima mtibuane...Mimi hata mtu akiniambia nikamtembelee alaf yupo Kwa ndug , siendi mana wote tunakuwa under guidance...may be tukutane hotelin au kwakeNiliwahi kuishi kwa dadangu damu 1 alikua ameolewa...hahaa...jaman maisha haya ..walikua wakipika wenyewe wanaenda kulia chumban na mumewe...nilikua nachota maji najaza pipa 2 ..lakini hom kwetu ni kila kona wafanyakazi..nilikonda kwakweli.inahitaji wito mno!sipend hayo maisha tena
Unakaaje kwa bamkwe km co kujiaibsha,,Wana JF wenzangu, nilikuwa nimepanga maeneo ya Kimara miaka kadhaa iliyopita. Kutokana na changamoto ya maisha, kazi nilikuwa sina nikaenda kuishi kwa bamkubwa ili nijipange upya.
Kwa sasa nimekaa miezi minne kwake leo asubuhi kaniambia “nimekupa siku 30 uondoke kwangu”.
Wakuu naombeni msaada wapi pakuanzia? Nifanye nini? Nianzie wapi?
Mie hata kurudi kuishi hom kwa sasa siwez...yaan ni wiki 1 naaga..maana wazaz washazeeka bas tafuraniKuishi Kwa ndugu ni kipaji , unakuwa kama kabati 😋 Leo linageuzwa hv , Kesho vile zaidi ya hapo lazima mtibuane
Sijamkosea Kitu ila anachodai tuu ni kwamba ninachokaa anataka kukifanyia marekebisho aweke mpangaji hivyo amenipa muda mpka deadline niwe nimejipanga na kuondoka hmUmemkosea nini bamkubwa?
Mwombe akuongezee mda uweze kujipanga.
Na kwa kukomba mboga hawa ndo wenyewe, mi ndo ba mkubwa mwenyewe kila nikirudi kala kila kitu,bora aendeAnatabia ya kumdai dada wa kazi chakula kabla ya wenye nyumba hawajafika! Hafai huyo.