The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,179
- 51,160
Huyo Dada yako alikua anajidharaulisha kwa mumewe bila kujijua,kitendo cha yeye kukwepa kukupa chakula wewe ndugu yake wa damu ni roho mbaya sana ambayo itafanya hata huyo mumewe asimuamini tena.Niliwahi kuishi kwa dadangu damu 1 alikua ameolewa...hahaa...jaman maisha haya ..walikua wakipika wenyewe wanaenda kulia chumban na mumewe...nilikua nachota maji najaza pipa 2 ..lakini hom kwetu ni kila kona wafanyakazi..nilikonda kwakweli.inahitaji wito mno!sipend hayo maisha tena