The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,186
Sasa hao ndio wengi?Wakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo. Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.
Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto. Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu!
Loh yuhu kijana kapoteza mda na akili zake wanawake 180 una miaka 33. Let say kila mwana mke ulilala nae ×3 tu 3×180=540 f**ks na kila unapo lala unachukua 45min. Manaake hapo 45min×540=24300minutes÷60=405hrs ÷24hrs, ulipoteza masaa 405, kwa jumla ya ngono bila hata kupata mtoto, ndo maana mnafanya sisi masikini kutukwana "pple are busy making money ur bzy on useless sex" loh.Umeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nenda hospital kapime magonjwa yote makubwaWakuu kama kichwa cha mada kinavyojieleza nahitaji ushauri au mnitie moyo. Katika maisha yangu nimejikuta naangukia kwenye uhuni hivyo mpaka hapa ninavyoandika mada hii nishalala na malaya zaidi ya 160 wa kuwanunua. Wa mtaani kwa kuwatongoza wanafika 20 na punyeto pia nimeanza toka 2010.
Sasa wasiwasi wangu mimi mpaka sasa sina mtoto. Je kuna uwezekano nikapata mtoto kweli? Naombeni mchango wenu wakuu!
sema kwenye Umalaya ebo!!!kwenye uhuni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] we bure kabisaUmeshalala na wanawake 180. Una umri wa miaka 33. Tukichukulia kwamba umeanza mapenzi ukiwa na miaka 20, maanake kwa miaka 13 umelala na wanawake 180. 180/13= 14. Kwahiyo kwa mwaka mzima unalala na wanawake 14 tu, ambayo ni sawa na mwanamke 1 kwa mwezi!! Kijana hebu acha uzembe unadhani hilo dushee ulipewa la kuendea chooni tu? Bure kabisa..![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Demu wangu mmoja alijifunguaga ila mtoto hakumaliza siku mbili kafa.kisa ni kutoka udenda.huyu demu nilienae sasa mimba mbili zimetoka.hizo zingine wanabeba wanawake ambao nimekula tunda kimasihara hivyo nakua sijawaelewa kiivoMimba ngapi ushaambiwa!? Tuanzie hapo.
Mimi mwenyewe malaya wote 160 niliotumia kondom hawafiki 20.140 wote peku ila nimepima ukimwi sinaInategemea, mie nilipitia huko na namshukuru mungu mpaka nimeacha uzinzi, sikuumwa hayo maradhi na ujinga kabisa mie ndomu sikuwahi kuiweza.
Kati ya vijana wanaolala pazuri na mimi nipo.sio sio mzembe kiasi hicho.ila kuna ukweli nimepoteza pesa ila cha msingi ni kuangalia mbele na kuacha upuuziLoh yuhu kijana kapoteza mda na akili zake wanawake 180 una miaka 33. Let say kila mwana mke ulilala nae ×3 tu 3×180=540 f**ks na kila unapo lala unachukua 45min. Manaake hapo 45min×540=24300minutes÷60=405hrs ÷24hrs, ulipoteza masaa 405, kwa jumla ya ngono bila hata kupata mtoto, ndo maana mnafanya sisi masikini kutukwana "pple are busy making money ur bzy on useless sex" loh.