Msaada: Nimekosa hedhi yangu

Yaani siku hizi watu sijui akili wameziacha wapi...
Mtu yuko chuo lakini akili na maswali kama yuko vidudu.
Wewe ni mkubwa huhitaji ushauri, kaa na mume wako umwambie
 
Shosti huo mpango wakutumia calendar mambo ya zamani sana,tumia dawa au weka kitanzi...

Wala sio kweli, Kalenda ndo njia nzuri ukielewa vizuri mwili wako, mnadanganyika na hizo njia nyingine ambazo sio safe kwa afya zenu.
sikiliza kipindi cha Prolife Radio Maria utapata elimu kubwa juu ya hilo.
 
d9e755d6fcf9f25bee9cfd2b3dc10ab0f6c99df1530db93abe2b09e214a4acd6.jpg


salaamu wana jamvi,
mimi ni mama ninaishi na mme wangu lakini pia mimi ni mwanachuo wa chuo fulani,

sasa katika mahusiono yetu tumekuwa tukitumia kalender kuzuia mimba, sasa mwezi uliopita nilipata hedhi yangu
tar 14/5 na hii ni tarehe 16/6 si japata hedhi yangu, na kabla nilikuwa sifikii sk 32.

lakini sasa nikihesabu hapo nimefika sk 34, kumbuka ninahitaji namna ya kurudisha hedi yangu au vinginevyo.
 
Kutumia calendar si safe hata kidogo omba Mungu tu iwe imetokea safari hii umechelewa, lakini siku 34 Mhhhhh! kuchelewa kipindi kirefu hivi sidhani.

Kalenda ni nzuri ikiwa mwanaume atajicontrol.
 
Kama wewe ni mwanamke kweli huwezi kuuliA ushauri wa kipuuzi namna hii. Kwani hujui kujipma kama una mimba ya wiki mbili au la?
Basi kama ww ndio kama wale wale wa kinyumbu nyumbu tena msomi wa kihivyo hivyo nakushauri uende maria stops.
Next time don't ask f. $$%% queations here. Tuna mambo ya msingi zaidi ya kukosa period zako.
 
Salaamu wana jamvi,

Mimi ni mama ninaishi na mme wangu lakini pia mimi ni mwanachuo wa chuo fulani, sasa katika mahusiono yetu tumekuwa tukitumia kalenda kuzuia mimba.

Sasa mwezi uliopita nilipata hedhi yangu tar 14/5 na hii ni tarehe 16/6 si japata hedhi yangu, na kabla nilikuwa sifikii siku 32. lakini sasa nikihesabu hapo nimefika sk 34, kumbuka ninahitaji namna ya kurudisha hedhi yangu au vinginevyo.

Penda kutumia njiaya kupanga uzazi ya Ute ( Billing Ovulation Method) ina uhakika wa 99.99%. LAkini hiyo ya kalenda ni kama 66% uhakika wake. Lakini pia kama umepitiliza siku inawezekana mabadiliko yaa hali ya hewa au ulipata kuugua hapo katikati yawezekana pia ukachelewa. Zingatia kama imetokea umepata ujauzito pokea kwa furaha huyo mtoto!
 
Kama wewe ni mwanamke kweli huwezi kuuliA ushauri wa kipuuzi namna hii. Kwani hujui kujipma kama una mimba ya wiki mbili au la?
Basi kama ww ndio kama wale wale wa kinyumbu nyumbu tena msomi wa kihivyo hivyo nakushauri uende maria stops.
Next time don't ask f. $$%% queations here. Tuna mambo ya msingi zaidi ya kukosa period zako.

Mkuu siyo Maria stopes bali Marie Stopes! Hawa jamaa ni mawakala wa vifo vya watoto! Hawafai!
 
Sasa wewe mdanganye atoe lakini atakapokuwa kwenye majuto hutakuwepo kumsaidia. Na yeye ana uhuru wa kuchagua anaifuata sauti yangu au yako. Lakini kwa lolote atakaoliamua, matokeo yake sijamficha.

Akihadaika na kauli za wapambe kama wewe, asije kusumbua watu. Nimeshamwambia.


Kuna shida gani? Nchi yetu watu wanazaana mno khaa! Kutoa zygote (km haikupangwa) sidhani km ni shida
 
Kuna shida gani? Nchi yetu watu wanazaana mno khaa! Kutoa zygote (km haikupangwa) sidhani km ni shida

binti usikubali ushauri wa kutoa mimba, ni uuaji zaidi ya uaji wa mtu mzima, kwani hakina njia ya kujitetea, ikitokea kuwa ni mimba iliingia bila kupanga, ahirisha chuo, zaa, kuza, rudia kitabu.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom