Curious gal
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 3,200
- 4,010
Heshima yako kaka.....nimekukubali 100%Umeondoka kwenye chumba chako hakuna mtu, kurudi unakuta mtu, kwa hiyo akili zilikujia ghafla sana kwamba umekosea vyumba ikabidi utoke nduki usije kuitiwa mwizi au unabaka. Inshort sema akili zilikujia hapo hapo baada ya kujua umekosea.
Huu msimamo ni lazima uanzie mwanzo mpaka mwisho.
dunia viroja aseh!..
