Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

Sawa endelea tena
nipo zangu gheto hapa... wakati narudi nimemsikia shangazi na binti yake wanaongea kawaida tu ndani mi nimepita zangu nimeingia gheto nimefunga mlango.... kwa haraka naona kesi imeisha hapa haina nguvu tena..!!!
 
Mkuu! Pombe ndio itakayokutoa ! Sema ulikua pombe sana ukachanganya vyumba! !

Kesi itakua ngumu kama hutumii hiyo pombe yenyewe!!

[HASHTAG]#Usisahau[/HASHTAG] kutuletea mrejesho! Na useme ni ushauri wa nani uliokufaa!
 
Mkuu! Pombe ndio itakayokutoa ! Sema ulikua pombe sana ukachanganya vyumba! !

Kesi itakua ngumu kama hutumii hiyo pombe yenyewe!!

[HASHTAG]#Usisahau[/HASHTAG] kutuletea mrejesho! Na useme ni ushauri wa nani uliokufaa!
mkuu kilichotokea ni kwamba jana niliamua kuchelewa kurudi gheto walinisubiri kwenye kikao mwisho wakaamua wakalale zao ila yule shangazi alinisubiri mpaka nimerudi... nilivyofika akaniuliza asubuhi ulitaka kuniambia nini nikamwambia nilikuwa na shida ya pasi ila kwakuwa ulikuwa haupo ok nikaona basi... akasema huna kingine nikamwambia sina... akajibu kama huna kingine sawa. leo nimerudi nimekuta fresh kiaina wapo zao ndani wanapiga story nilichofanya ni kupita zangu gheto nimefunga mlango nimejikausha tu.... kwa kiasi fulani naona kesi imepungua makali tofauti na jana... japo yule shangazi najua bado ana kinyongo...!!!
 
Kwenye kikao kuwa straight tu. Kwavile ni binti hapo sioni tatizo liko wapi, labda kama utalazimishwa kumuoa wakati sio malengo yako.
 
Back
Top Bottom