Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Mkuu ile comment nilimaanisha asiniite kaka kuna vitu ataninyima kwa kuniita hivyo.
Sasa wewe ulivyotamka vile ikabidi nikujibu tu kirahisi.


kumbe nimeharibu mawindo sorry sana!!Mkuu ile comment nilimaanisha asiniite kaka kuna vitu ataninyima kwa kuniita hivyo.
Sasa wewe ulivyotamka vile ikabidi nikujibu tu kirahisi.


kumbe nimeharibu mawindo sorry sana!!kumbe nimeharibu mawindo sorry sana!!
Aiseeeee am speechless😛........kuita mkuu sijazoea na siwezi
Na shangazi muombe kukata mzizi wa fitina.Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.
Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.
Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.
Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.
Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.
Hahahahahahaaaa aiseeeeHa ha ha, basi hakuna namna itabidi uwe unaniita "Dear".
Hahahahahahaaaa aiseeee
unajua ishu nzito hiyo mkuu usiichukulie kitoto... kesi hiyo..!!!!Acha kumbembeleza na wewe utafikiri haujawahi kufanya kosa na ukajitetea na uongo ukakubalika yani hapo fata ushauri wa Don Clericuzio tena wakazie kabisa mwambie ndo hivo nilikuwa out of my mind hapo utakuwa umemalizana nae yani wewe ni mwanaume halafu unaogopa aiseeeee
kuna story za uwongo na hii imekaa vibaya sana na ngumu sana kuamini ndo maana unasema uwongo... ingekuwa inaelezeka nisingekuja huku ila imenikalia kushoto sana ndo maana nimekuja kuomba msaada huku... ahsante kwa kushiriki.story haina mshiko uongo mtupu
bro kuniona ameniona sema mimi nilivyoshtuka kuwa shangazi mtu yupo sikuongea kitu badala yake nilirudi nyuma nikasepa kwangu... ila ameniona mkuu.kwani kuna ushahidi kuwa alikuona ndani, ushauri wangu kwenye kikao usiende wakikuuliza waambie upo busy na mambo ya maendeleo majirani wakikuuliza waambie sio mimi, kama kungekuwa na ushahidi hapo sawa lakini mlikuwa wawili bro kataa
unajua nilitaka nijichanganye ile asubuhi ila alivyokataa ndo kanipa chance ya kujitetea vizuri sababu angekubali ile asubuhi nafikiri kila kitu kilikuwa online had muda huu..!!!!mkuu ushaaribu tayari wee chakufanya komaa na uwo msemo kuwa ulikuwa umelewa na ukasahau vyumba icho tu
usibadili maneno wala kuyumba kama wanajua kuwa utumi pombe wambie ndo mara yako ya kwanza iyo jana full stop
I knew it😉😉
Sema ulikuwa umelewa, ukakosea vyumba.
Na usibadili msimamo.
Kesi kwani huyo msichana ni under 18?? Hata hivo unatakiwa kusema hivo na hamna kingine cha kujitetea labda useme ulikuwa unaota kitu ambacho hakiwezekaniunajua ishu nzito hiyo mkuu usiichukulie kitoto... kesi hiyo..!!!!