Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

imefkia wapi mkuu mpaka sasa???
mkuu nimechelewa kurudi home wamesubiri wamechoka wameamua kulala zao ila yule shangazi eti amekesha nje kunisubiria mpaka akutane na mimi....
 
Kumgegeda mpangaji mwenzio au mtoto wa mwenye nyumba ni hatari kwa afya yako.
mkuu bucha likiwa karibu na nyama imenona utaacha na kwenda mbali kununua..!!!
 
Akili za kuambiwa changanya na zako mkuu.

Tatizo la kumruka wakati yeye amekuona mtaendelea kuwa tofauti kubwa kati yenu na yeye atakasirika sana kwa wewe kumdhalilisha kwamba anauambia uma uongo.

Ila ukikubali na kukiri kosa wewe na yeye hamtakuwa na tofauti kivile.

Kama nilivyokwambia: Akili za kuambiwa changanya na zako.
Don ulishawahi kukosea chumba eeeh
 
Sema tu ulikose mlango , maana hapo sasa ukijikoroga tu unaweza kuonekana umeanza tabua ya wizi kuiba kwenye nyumba za watu
 
Mkuu nakushauri ongea na mwenye nyumba aweke milango haiwezekan mkaish watu wengi af kuna mapazia tu mtu unaweza tu kuingia bila kupiga hodi, shangaz pia mwambie awe analala uchi ili siku ukikosea pena ukiingia tu unaona papa lake
****.make
 
Umeondoka kwenye chumba chako hakuna mtu, kurudi unakuta mtu, kwa hiyo akili zilikujia ghafla sana kwamba umekosea vyumba ikabidi utoke nduki usije kuitiwa mwizi au unabaka. Inshort sema akili zilikujia hapo hapo baada ya kujua umekosea.

Huu msimamo ni lazima uanzie mwanzo mpaka mwisho.
Huyu Bana hataki kushauriwa
 
Kumbe ndo wewe nimesikia mwenye nyumba anakuongelea asubuhi, walah usiponipa mlungula wa konyagi kubwa nakuchoma na nawaonesha huu Uzi wako.
 
Nacheka tu mm nawaza tu ulivyo na unavyojiwazia kuhusu kikao acha nikupe pole tu hivi ungemkula chumbani kwako hayo yote yangetokea wapi
 
Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.

Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.

Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.

Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.

Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.
shenzi type, ndio ukome.😀😀😀😀
 
Sema ni pacha wako, sema amesharudi kwenu mlikozaliwa, Kigoma, mkoa wa Tanga, karibu na Lindi vijijini kabisa, tarafa ya Kasulu karibu sana na pale Uyole.
 
Back
Top Bottom