Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

Msaada: Nimejifumanisha mwenyewe

kuisha najua yataisha mkuu ila yaishe vizuri sasa maana kuna kuisha vibaya mwisho nionekane sina maana.. nipeni akili ya kujikwamua kwenye kikao yule shangazi kamaindi sana anapiga piga simu ovyo tu kwa ndugu zake sijui alijua nataka kumbaka..!!!
Huyo shqngazi nae kiherehere sasa simu zote za nini. Au kuna kitu alikuomba ukamnyima sasa umeingia kwenye anga zake. Au njaa inamsumbua anataka apate pa kuponea.
 
Huyo shqngazi nae kiherehere sasa simu zote za nini. Au kuna kitu alikuomba ukamnyima sasa umeingia kwenye anga zake. Au njaa inamsumbua anataka apate pa kuponea.
jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...
 
Nacheka tu mm nawaza tu ulivyo na unavyojiwazia kuhusu kikao acha nikupe pole tu hivi ungemkula chumbani kwako hayo yote yangetokea wapi
mapenzi Shunie .. kwan hujui sauti zenu zinavyotupaga mitihani..!!!!
 
jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...
Huyo anataka umgengede tu hakuna kingine au akupige za uso na hii January ilivyokaaa.
 
Kumbe ndo wewe nimesikia mwenye nyumba anakuongelea asubuhi, walah usiponipa mlungula wa konyagi kubwa nakuchoma na nawaonesha huu Uzi wako.
ha!!! ha!! ha!!! ha!!!
mkuu ngoja yakukute... kuteseka kwa zamu...!!!
 
Huyo anataka umgengede tu hakuna kingine au akupige za uso na hii January ilivyokaaa.
anipige za uso sasa si angesema japo ningemwambia fanya unanidai maana sina hela kwa sasa..!!!
 
Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.

Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.

Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.

Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.

Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.

KANA NA USIKUBALI CHOCHOTE UTAPONA,.
 
Kasikilize wimbo wa SHAGGY unaitwa wasn't me,kisha bisha mwanzo mwisho kuwa hukuwa wewe.
 
Sema ni pacha wako, sema amesharudi kwenu mlikozaliwa, Kigoma, mkoa wa Tanga, karibu na Lindi vijijini kabisa, tarafa ya Kasulu karibu sana na pale Uyole.
watahisi naleta utani na yatakuja mengine tena..!!!
 
Back
Top Bottom