Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
watu mna majibu ya papo kwa papo
Mbinu za kilevi huwa hazishindwi.
watu mna majibu ya papo kwa papo
Inawezekana sana mkuu.yaan unayosema ni kweli ila usingizi na uchovu pamoja na mawazo kweli inaweza ikakuhamisha kutoka pembe ya korido ya kwanza hadi chumba cha pembe ya korido ya mwisho...!!!!!
Huyo shqngazi nae kiherehere sasa simu zote za nini. Au kuna kitu alikuomba ukamnyima sasa umeingia kwenye anga zake. Au njaa inamsumbua anataka apate pa kuponea.kuisha najua yataisha mkuu ila yaishe vizuri sasa maana kuna kuisha vibaya mwisho nionekane sina maana.. nipeni akili ya kujikwamua kwenye kikao yule shangazi kamaindi sana anapiga piga simu ovyo tu kwa ndugu zake sijui alijua nataka kumbaka..!!!
jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...Huyo shqngazi nae kiherehere sasa simu zote za nini. Au kuna kitu alikuomba ukamnyima sasa umeingia kwenye anga zake. Au njaa inamsumbua anataka apate pa kuponea.
Huyo anataka umgengede tu hakuna kingine au akupige za uso na hii January ilivyokaaa.jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...
Ndio wanajua sio mnywaji ila siku hiyo umekunnywa na ndio maana yakatokea hayotatizo nyumba nzima wanafahamu mimi sio mtumiaji wa pombe mkuu.
Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.
Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.
Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.
Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.
Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.
With confidence ukatimba mwenyewe,Maraa paaaaaaaaaaap. Huyu hapa. Kama vile nakuona ulivyopiga turn ya kurudi ulikotoka. Huku, unatetemeka.mkuu ungeona staili niliyochomoka nayo... pale ndo nimeamini nina kipaji yaan nachomka bila kutoa sauti ya miguu..!!!
Kuwa mjanja mtoto wa kiume sio mtumiaji si unasema ulikutana na company ulisoma.nao wakakulazimisha kunywa pombe ndio ukanywatatizo nyumba nzima wanafahamu mimi sio mtumiaji wa pombe mkuu.
Kauka. usijibu hoja. Sema, sio mimi.nikisema shetani si atahisi nilitaka kuwabaka wote.... mmh hiyo nahisi haitakuwa poa..!!!