Chiwaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 5,725
- 3,795
then?jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...
then?jana nimeamua nichelewe kurudi... eti kanisubiria nje mpaka nilivyorudi yule shangazi ana yake sio bure...
imekaaaaaaaaaaaa vyema, mwanzo mwisho.Kasikilize wimbo wa SHAGGY unaitwa wasn't me,kisha bisha mwanzo mwisho kuwa hukuwa wewe.
Habari zenu wakuu mwenzenu leo yamenikuta mimi na mpenzi wangu tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti mimi naishi mwenyewe ila yeye anaishi na shangazi yake imekuwa kawaida shangazi yake.
Sasa usiku wa jana shangazi yake alitoka kwenye mida ya saa mbili hivi na muda huo mpenzi wangu aliniita kuwa shangazi hayupo na atarudi kesho asubuhi hivyo mimi niende kwake na kama ujuavyo mapenzi nikasema sawa.
Tumegegedana kwa raha vizuri na kwenye saa nane hivi nikamwambia acha mimi nikajipumzishe kwangu wakati natoka nilimwacha ametoka kitandani amelala kwenye kochi nikamwambia usilale hapo hadi asubuhi baada ya nusu saa amka ujilaze kitandani.
Basi nimerudi zangu kulala ila ilipofika saa 11 nikashtuka na nikakumbuka yule mwanamke inawezekana amepitiwa pale usingizi anaweza akaliwa sana na mbu pia kuna kuumiza shingo acha nikamwangalie kama amerudi kitandani hapo sasa sina hili wala lile kumbe shangazi alikuwa karudi saa tisa na mimi mzee mzima kwa kujiamini niliingia tu chumbani kwake nikiamini yupo binti tu.
Yule shangazi alishtuka kuniona na nilipomuona nilikimbia fasta kurudi kwangu sasa leo anaitisha kikao nyumba nzima kuhusiana na tukio hili naomba mnipe mawazo naikwepa vipi hii kesi maana naona sijielewi kabisa.
JIBU HIVI Mkuu. ''Nilipotea Chumba, baada ya kutoka maliwatoni. sorry kwa usmbufu''.yaan mkuu usiombe halaf yule shangazi miyeyusho kweli aisee...
Patamu hapo, unafanya ile inaitwa kuwa ni Mistake of facts. Komalia hp hapo.unajua hilo nilikuwa na ila kona za chumba changu na chake kupotea hata umelewa ni ishu tupo mwisho na mwisho mkuu..!!!
hiyo namba 2 imenichekesha sana... kwahiyo mzee ukajikuta upo uvunguni dk 0... ha!!! ha!!! ha!!! ha!!!Nimeshawahi kukutwa na vituko vya aina hii, kama mara 3 hivi.
1. Nilionwa live bila chenga, nikasema sikuwa mimi.
2. Alikuja kugonga jirani kuomba chumvi kwa niliyekuwa namgegeda, nilijua mwenye mali kaja. Niliingia uvunguni, yeye akaenda kufungua mlango. Aliporudi akaniambia sio mzee mwenyewe, Game liliishia hapo.
3. Nikawa Nabii Titto, mara paaaaaaaaaaaaap. Maza house huyu hapa, sijajibu hoja mpaka leo.
Mambo ya kiume, huisha kiume kiume.
Aliponiambia hivyo, nikavaa zangu na kuchomoka bila ya majadiliano naye. Japo alinilazimisha kweli tuendelee na game. Niligoma mkuuuuuuuu.hiyo namba 2 imenichekesha sana... kwahiyo mzee ukajikuta upo uvunguni dk 0... ha!!! ha!!! ha!!! ha!!!
Tena hapo ndo rahatatizo nyumba nzima wanafahamu mimi sio mtumiaji wa pombe mkuu.
hiyo ni sawa ila nina muda mrefu pale sikuwahi kufanya hicho kioja hata siku moja au ndo niseme imenianza jana..!!!Simple, mwambie shangazi kwamba wewe una Somnambulism (sleep walking), yaani ukilala fofofo huwa unaanza kuota na unatembea bila hata kujijua, halafu inabidi mtu akikuona unatembea usingizini inabidi asikushtue kwani ukishtuliwa tu unatoka mbio/nduki/benzi. Kesi imekwisha, next please.
HaaaahWatu mnajua kushauri.... Daaah
kaka ishu ilikuwa sio kwenda kumgonga nilienda kucheki kama ameamka pale kwenye kochi kwenda kitandani halaf nirudi zangu kulala... msala ndo ukaanzia hapo..!!!Wewe si una gheto lako na yapo jirani na ka mpenzi sasa ilikuaje ukamgongea huyo binti kwa shangazi yake? kwanini hukumpeleka huyo binti gheto lao,mimi huwa sipendi mwanaume asiye jiongeza kiakili maana akili za wanaume ni wazi kabisa ni extraordinary ila wewe ni mweupe kah,usituchoshe.
Dadadekiiii we ni balaaaaPoint iko hapo, ilitokea ulikuwa na msongo wa mawazo ukashauriwa kunywa, sasa ulipotoka chooni ukajikuta umekosea chumba. Na hii imetokea kuchanganywa na pombe kwa sababu ni mara yako ya kwanza kunywa.
Nunua na chupa ya konyagi kubwa, imwage nusu ili ukiulizwa ushahidi uoyeshe kiasi kilichobaki.