Ndeluningo
Member
- Sep 17, 2023
- 6
- 8
Habari ndugu zangu, nataka kuweka kitabu changu katika mtandao wa AMAZON, ila kuna sehemu moja ya kuweka taarifa za kibenki, sioni option ya Tanzania ili niweze kuendelea.
Kuna iprion ya Mrekani na nchi nyingine za ulaya.
Msaada tafadhali
Kuna iprion ya Mrekani na nchi nyingine za ulaya.
Msaada tafadhali