1: Tumia hizi cable kisha unganisha kwenye tv yako kuna tundu la kutumia earphone. Kama sijakosea linaitwa rcaHiv naeza tumia njia gan kupata saut kwenye Radio kutoka kwenye Tv yangu maana TV haina AV output. Ina HDMI tu
Pole mabdro na azam max huwezi ziingiza kwa tv yako zitakugomea nilishajaribu....but kuna uzi upo humu nishatoa hatua rahisi za kutuma apk kwenye tv yakoHabari wakuu,
Nataka kuweka Azam Max mobdro na apps nyingine zenye akili cha ajabu.
Naambiwa google play kwenye hii device haiwezi kudownload kama kuna njia nyingine.
Naombeni msaada.
Haifanyi kazi mkuu...nishajaribu labda atumie mouse tooggle...ili kuzom na kubadili channelNadhani tatizo ni kwamba Azam hawajatoabApp yao kwa ajili ya Android TV ila kwa Android za simu tu, kwanhiyo inabidi usideload apk yao uone kama itafanya kazi.
Sikumbuki ni uzi upi but ukikuwa ni uzi wa tvNisaidie huo uzi
Haifanyi kazi unamaanisha nini? Haifunguki kabisa au haifanyi kazi na remote?Haifanyi kazi mkuu...nishajaribu labda atumie mouse tooggle...ili kuzom na kubadili channel