Msaada: Nataka kuwa the "GREAT THINKER". Nifanye nini?

Msaada: Nataka kuwa the "GREAT THINKER". Nifanye nini?

Weltmeisterschaftung

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2014
Posts
364
Reaction score
250
IMG_20170628_182657.jpg



IMG_20170628_182236.jpg


Habari za wakati huu wana JF.

Ninatamani sana kuwa GT kama vile mkuu The bold The Boss mshana jr pamoja na Yericko Nyerere

Ni mbinu gani nitumie niwe the great thinker?

Naombeni msaada.
 
Fuata njia zifuatazo
1.kunywa sana malimao
2.mtongoze wema au jokate
3.penda kumufuatilia RC wa wanaume wa dar
4.penda kusikiliza maneno ya polepole Humphrey
5.kuwa firs replay kma joseverest
Ni hayo tu mkuu
 
View attachment 531033
View attachment 531034

Habari za wakati huu wana JF.

Ninatamani sana kuwa GT kama vile mkuu The bold The Boss mshana jr pamoja na Yericko Nyerere

Ni mbinu gani nitumie niwe the great thinker?

Naombeni msaada.

anza na vitabu vifuatavyo

7 habits of highly effective people by stephen covey

the world is flat by friedman

art of war by sun Tzu

learning how to learn by Dr barbara oakley

vilibadilisha fikra zangu sana na kunifanya nibadilike
 
anza na vitabu vifuatavyo

7 habits of highly effective people by stephen covey

the world is flat by friedman

art of war by sun Tzu

learning how to learn by Dr barbara oakley

vilibadilisha fikra zangu sana na kunifanya nibadilike
Mkuuu huna soft copy ya hivyo vitabu
 
Nenda MMU muone daby na ndege wake wote wakupe ujuzi
 
Back
Top Bottom