Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,041
- 71,287
Soma kitabu kinaitwa Seven secrets used by successful people !!.
Aisee hii avatar yako ya NIMITZ imenikumbusha mbali sana. Hasa ziara yangu ya western europe baada ya kuwa nimesoma kitabu kiitwacho A WAR TO BE WORN. FIGHTING THE SECOND W.W.Soma sana vitabu.
View attachment 532128
View attachment 532127
Habari za wakati huu wana JF.
Ninatamani sana kuwa GT kama vile mkuu The bold The Boss mshana jr pamoja na Yericko Nyerere
Ni mbinu gani nitumie niwe the great thinker?
Naombeni msaada.
Hyo ID tu ndo imefanya nikoment itafutie na avatar kbspumba haziliwi tu ma kuku hata binadamu leo wanazinya kama nyinyi hehehe
Vya kiswahiki vipo kama kisadikika,etcSasa hivyo vitabu vipo kiswahili maana wengine lughazimetutupa mkono
Soma uujamaa wetu,kusadikika,uhuri na umoja,eetcSasa hivyo vitabu vipo kiswahili maana wengine lughazimetutupa mkono
Soma vitabu vingi kama kiongozi mkuu wa nchi yetu
NtatafutaSoma uujamaa wetu,kusadikika,uhuri na umoja,eetc
Ukiipata nitaarifu plzMkuuu huna soft copy ya hivyo vitabu
Soft copy plzzzSoma kitabu kinaitwa Seven secrets used by successful people !!.
Sawa mkuuNtatafuta