Msaada: Nataka kuwa the "GREAT THINKER". Nifanye nini?

Msaada: Nataka kuwa the "GREAT THINKER". Nifanye nini?

Unaweza ukawa "more than just a great thinker" kwa kufanya yafuatayo:
Amua kwa dhati ya moyo wako kuyakabidhi maisha yako kwa Bwana Yesu-(yaani KUOKOKA). Kitendo hicho kitakufanya umpokee Roho Mtakatifu Ambaye ataingia ndani yako na kukufundisha na kukuonesha YOTE ya ulimwengu huu na yale ya ulimwengu wa roho. Huku ndiko kuwa extraordinary person. Utakuwa na hisia (milango ya fahamu) ambazo ni zaidi ya zile tano tunazozijua.
Soma hapa: " Lakini Mungu ametufunulia sisi kwa Roho. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu". 1KORINTHO 2:10.
MIMI NI SHUHUDA WA HAYO NIYASEMAYO.
Karibu.
 
Kaishi kibiti mkuu na tatua mgogoro kati ya wauaji na serikali
 
SOMA VITABU MBALIMBAKI JUU YA SOMO MOJA:

Hakikisha unasoma vitabu vingi juu ya topic moja.kwa mfano unataka kusoma kuhusu "life skills" (stadi za maisha) basi usiishie tu kuosoma kitabu kimoja kuhusu life skills,soma hata vitabu vitano na hata zaidi hii ni kwasababu kila mwandishi anaustadi wake wa uandishi na namna ya kuwasilisha wazo lake kwa jamii kwahiyo hii inakufanya upate mitazamo tofauti na kujifunza mbinu mbalimbali za kufikiri tofauti.

KULA VIZURI HASA HASA VYAKULA VINAVYOTOKA BAHARINI:wanasayansi wanaita "sea food" vyakula vya aina hii vyimethibishwa kuwa na virutubisho vinavyoufaa sana ubongo inashauriwa sana kwa watoto ili kuujenga ubongo kwa sababu wao bado wanakua na kujifunza vitu vingi,ila hata kwa watu wazima pia inasaidia.Bila ya kusahau vyakula vingine ila jitahidi kumaintain balanced diet.

FANYA MAMBO CHANYA:hii itakuepusha na stress kitu ambacho kwa mtu anayetaka kuwa great thinker sio kizuri kabisa,epuka majadiliano hasi ya aina yeyote ile,hakikisha unakuwa mtu muda wote.

SOMA SANA MAMBO YAKUFIKIRISHA:hii ni kwasababu ubongo ni msuli(muscle) kama misuli mingine na ili msuli ukue unahitaji mazoezi na mazoezi ya ubongo ni kufikiri,hivyo jitahidi ufanye sana haya mazoezi ili huo msuli uweze kukua,ndio maana watu huwa wanasema "piga msuli" akimaanisha kisoma kwahiyo jitahidi kusoma mambo fikirishi sana.
 
SOMA VITABU MBALIMBAKI JUU YA SOMO MOJA:

Hakikisha unasoma vitabu vingi juu ya topic moja.kwa mfano unataka kusoma kuhusu "life skills" (stadi za maisha) basi usiishie tu kuosoma kitabu kimoja kuhusu life skills,soma hata vitabu vitano na hata zaidi hii ni kwasababu kila mwandishi anaustadi wake wa uandishi na namna ya kuwasilisha wazo lake kwa jamii kwahiyo hii inakufanya upate mitazamo tofauti na kujifunza mbinu mbalimbali za kufikiri tofauti.

KULA VIZURI HASA HASA VYAKULA VINAVYOTOKA BAHARINI:wanasayansi wanaita "sea food" vyakula vya aina hii vyimethibishwa kuwa na virutubisho vinavyoufaa sana ubongo inashauriwa sana kwa watoto ili kuujenga ubongo kwa sababu wao bado wanakua na kujifunza vitu vingi,ila hata kwa watu wazima pia inasaidia.Bila ya kusahau vyakula vingine ila jitahidi kumaintain balanced diet.

FANYA MAMBO CHANYA:hii itakuepusha na stress kitu ambacho kwa mtu anayetaka kuwa great thinker sio kizuri kabisa,epuka majadiliano hasi ya aina yeyote ile,hakikisha unakuwa mtu muda wote.

SOMA SANA MAMBO YAKUFIKIRISHA:hii ni kwasababu ubongo ni msuli(muscle) kama misuli mingine na ili msuli ukue unahitaji mazoezi na mazoezi ya ubongo ni kufikiri,hivyo jitahidi ufanye sana haya mazoezi ili huo msuli uweze kukua,ndio maana watu huwa wanasema "piga msuli" akimaanisha kisoma kwahiyo jitahidi kusoma mambo fikirishi sana.
Kamanda wangu asante sana
 
View attachment 532128


View attachment 532127

Habari za wakati huu wana JF.

Ninatamani sana kuwa GT kama vile mkuu The bold The Boss mshana jr pamoja na Yericko Nyerere

Ni mbinu gani nitumie niwe the great thinker?

Naombeni msaada.
Anza kujizoesha kusoma makala ngumu ngumu na uzielewe,soma.makala na maandiko ya wanafalsafa wakuu kama kina plato etc,soma makala za akina eistein,tesla,newton,etc,soma theology,historia ya dunia,soma algebraic equations,solve analytical mathematics,hakika utakuwa GT
 
Anza kujizoesha kusoma makala ngumu ngumu na uzielewe,soma.makala na maandiko ya wanafalsafa wakuu kama kina plato etc,soma makala za akina eistein,tesla,newton,etc,soma theology,historia ya dunia,soma algebraic equations,solve analytical mathematics,hakika utakuwa GT
thanks kaka
 
Anza breath meditation mkuu
Kila kitu utakiona katika angle yake
 
anza na vitabu vifuatavyo

7 habits of highly effective people by stephen covey

the world is flat by friedman

art of war by sun Tzu

learning how to learn by Dr barbara oakley

vilibadilisha fikra zangu sana na kunifanya nibadilike
Je hivi vinapatikana online?
 
Kuwa great thinker pia inategemeana na akili yak
 
Fuata njia zifuatazo
1.kunywa sana malimao
2.mtongoze wema au jokate
3.penda kumufuatilia RC wa wanaume wa dar
4.penda kusikiliza maneno ya polepole Humphrey
5.kuwa firs replay kma joseverest
Ni hayo tu mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] malimao unataka akate kitambi
 
anza na vitabu vifuatavyo

7 habits of highly effective people by stephen covey

the world is flat by friedman

art of war by sun Tzu

learning how to learn by Dr barbara oakley

vilibadilisha fikra zangu sana na kunifanya nibadilike
Hicho cha art of war naweza kupata link ya kudowload mkuu
 
Back
Top Bottom