Msaada: Natafuta watu wakuning'olea visiki na kusafisha shamba

Msaada: Natafuta watu wakuning'olea visiki na kusafisha shamba

Du! Nimecheka balaaa. Kumbe kuna jamii nyingine watu wanajua kabisa sio watu wa kazi. Mlipotaja Wasukuma nikamkumbuka Magufuli, Mwakyembe angalau ingawa wako ndani ya mfumo uozo wanaonesha uhai. Nikisema tuangalie asili ya viongozi tunaowachagua na uchapaji kazi wa jamii wanazotokea nitaitwa mkabila. BUT "Mzigo mzito mtwishe Mnyamwezi au Msukuma"
 
Kaka (unayetafuta wachapa kazi), nakushauri uende popote unapoona ni rahisi kwako kutafuta wachapa kazi katika kanda zifuatazo (Kanda ya Kati, Kaskazini na Magharibi) - Mashariki (yaani Pwani) na Kusini usiguse.

Kanda ya Mashariki (Pwani) na Kusini ni sehemu za ku-invest lkn si sehemu za kutafuta human resource.
 
Kuna sababu kwanini mtu anafanya kitu, usiwe rahisi wakuona wenzio wajinga! Theres more than what meets the eye!

Mchina akiwekeza hoteli akaajiri wafanyakazi toka India tunapiga kelele oo hawatoi ajira kwa wazawa! Nakushauri komaa ongeza dau uwape ajira wakwere vinginevyo utahujumiwa adi uone kizunguzugu, wewe unataka uwekeze shamba la ekari 50 afu wenyeji wasitafune hata shillingi yako! Uwekezaji endelevu lazima uwe rafiki na majirani. Angalia kama kukwepa kuwatumia wenyeji kutakuongezea faida ya kudumu, wao wanajua mazingira ya eneo hilo, wanazijua vema fursa na matatizo ya eneo hilo, kalaga baho.

 
Kuna sababu kwanini mtu anafanya kitu, usiwe rahisi wakuona wenzio wajinga! Theres more than what meets the eye!

Nimekupata rhysrose, sorry kwa kukukwaza, ila neno ujinga siyo tusi maana ujinga unaisha ukishapata ufahamu wa jambo! Kwa hiyo sijisikii vibaya kama naonekana nawaona wengine wajinga kirahisi pale ninapoonekana nachangia! Maana tuko hapa JF kupashana habari na kuondoana ujinga! Inawezekana nime-present mchango wangu in annoying way imekuboa, just forgive and forget, ila usiache kuokota hata kamchele kamoja kwenye ile mistari yangu mweee, pumba niachie mwenyewe!!
 
nenda pale msoga kuna barabara inakata kushoto kama umetokea chalinze ifuate moja kwa moja utapata vijana wa kukufanyia hiyo kazi
 
nenda pale msoga kuna barabara inakata kushoto kama umetokea chalinze ifuate moja kwa moja utapata vijana wa kukufanyia hiyo kazi

Mh mbona maelekezo yako yanamwelekeza Kama kwenda kwa babu yake rizi one, na mwana Asha! Usije kumfanya mwenzio aishie Mabwe!
 
tupe na cv zinatakiwa waweje,elimu ya vibarua,lugha etc maana ulimwengu wa digita kila kaz uwe na cv
 
Nenda Makete katafute Wapangwa hizo kazi ndio mwake ,hakikisha una viroba vya kutosha vya sembe na ndondo kazi kwisha
 
Back
Top Bottom