Bado kwanza! Hatujamalizana na Bashite. Gwajima atajuwana na misukule yake (waumini wake).tunamtaka huyu Bashite anaetanua kwa kkdi zetu.Yah, tunamtaka Gwajima adhihirishe kwa wazi. Tunataka kujua elimu yake kwa kutuwekea vyeti vyake na majina yake sahihi, wenye data tafadhari. Dawa ya moto iwe moto
Wewe umemuajiri Gwajima mpaka utake vyeti vyake,au serikali imemuajiri labda useme unauliza kwa niaba,Acha upuuzi mwambie Bashite aweke vyeti.Tumekubaliana kwamba ili umnyooshee kidole mwenzio inabidi uwe msafi kwanza!Ndio saga linaloendelea!Kwasababu Gwajima amekuwa kinara wa kumtaka Makonda aweke vyeti hadharani, ni vema na yeye akatuwekea vyake tuone namna alivosoma toka msingi mpaka kiwango chake cha PhD!Hili haliondoi madai yanayoendelea!
Gwajima weka vyeti vyako vya kitaaluma hadharani tuone kama hukufoji
Tumekubaliana kwamba ili umnyooshee kidole mwenzio inabidi uwe msafi kwanza!Ndio saga linaloendelea!Kwasababu Gwajima amekuwa kinara wa kumtaka Makonda aweke vyeti hadharani, ni vema na yeye akatuwekea vyake tuone namna alivosoma toka msingi mpaka kiwango chake cha PhD!Hili haliondoi madai yanayoendelea!
Gwajima weka vyeti vyako vya kitaaluma hadharani tuone kama hukufoji
Hatukusubiri suala la unga liishe kwa hiyo haya yote yaende sambamba!Vyeti viko chumbani ama kanisani avionyeshe tu hakuna ubayaSuala la Bashite halijamalizika wewe unaleta hoja hii. Aliyeanza hapa ni Makonda kwa kunyooshea kidole Gwajima kuwa anadeal na unga, sasa gwajima naye amenyooshea kidole kuwa amefoji vyeti, please think greatly!!!!!!
Si vyeti tu. Bali ni Proposals na THESIS zake zote.Tumekubaliana kwamba ili umnyooshee kidole mwenzio inabidi uwe msafi kwanza!Ndio saga linaloendelea!Kwasababu Gwajima amekuwa kinara wa kumtaka Makonda aweke vyeti hadharani, ni vema na yeye akatuwekea vyake tuone namna alivosoma toka msingi mpaka kiwango chake cha PhD!Hili haliondoi madai yanayoendelea!
Gwajima weka vyeti vyako vya kitaaluma hadharani tuone kama hukufoji
Hv ht km ni kwl Ana vyeti feki...je,kunaondoa uhalali iwapo ni kwl aliowataja wanatuhumiwa kujihusisha na ngada???Suala la Bashite halijamalizika wewe unaleta hoja hii. Aliyeanza hapa ni Makonda kwa kunyooshea kidole Gwajima kuwa anadeal na unga, sasa gwajima naye amenyooshea kidole kuwa amefoji vyeti, please think greatly!!!!!!
Wadau, ninatilia shaka sana maarifa na elimu ya huyu ndugu Gwajima (Mch au Askofu?) kutokana na maneno yake mbele ya jamii.
Kuna mwenye CV yake tuichambue hapa? Elimu ya sekondari (csee na acsee), University, Chuo cha Kichungaji alikopitia, dhehebu lake la zamani, n.k.
Tabia zake na za waumini wake ni kama vile ........
HUYU GWAJIMA KAJIAJIRI, VYETI VYA NINI? MBONA HAMUULIZI VYA MANJI?Analundo la mavyeti huyo gwajima