Msaada: Natafuta annointing water ya T.B Joshua

Msaada: Natafuta annointing water ya T.B Joshua

Daaaaah hii hatareeee kwa hyo kama hauna ela unakufa na matatzo yako WATU WANGU WANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
Mjini hapa wajinga ndio waliwao....
 
Asante kwa wote walio nielekeza kesho tu naenda kuyachukua kwa gharama yoyote.

Nenda mkuu,kawaida ya shetani ni kupinga watumishi wa mungu na kukuzuia usifunguliwe,mshindwe mawakala wa shetani Rutashobollwa na wenzako
 
Last edited by a moderator:
Achana na hivyo vitu. Ni mapepo hayo. We muombe Mungu akutatulie shida zako... inatosha.
 
Mwacheni bana. Uamuzi wowote atakaoufanya ni sahihi iwapo havunji sheria/ katiba ya JMT.
 
Waafrika watumwa wa hizi dini hadi wanakera
 
Hakuna anointed water,yote biashara kaka,huyu t .b Joshua sijui kaipata wapi utume,anatumia majini tu kufanikisha kazi zake

Tahadhali
Si vizuri sana kuzungumzia kitu kama hicho hadharani wakati huna uhakika.hisia sio halisi japo hata mimi mwenyewe nahisi hivyo
narudia tena kuwa hata mimi nahisi hivyo
 
Sasa haya maji huwasaidia nini? Kwanini usichote yako ukaya swalia? Kuna mstari mwembamba sana kati yenu na washirikina maana wote mnaabudu wanadamu ..! Kwani nyie hamuwezi kuswalia maji au hamna imani? Wajinga ndio waliwao...biashara hiyo...

Mambo hayakuhusu unayatolea povu, kwani wamekuomba hela?
 
Nyie watu. Nani aliewaloga? Hiyo anointing mnayoitafuta kwenye Maji ni yanamna gani na nikwanini iwepo kwenye Maji ya Tb Joshua? Mtegemee Roho mtakatifu ndie Maji yako yenye nguvu za uponyaji. Km unauwezo wakulipa $50 kwaajili ya Maji zitoe sadaka kwa wahitaji na umuombe Mungu atakufungulia milango yako iliyofungwa Isa 60;11.
 
Huu nao ni aina ya ushirikina!
Hivi wewe ni mpagani? waislamu wanatumia maji ya baraka na hata wakristo pia, hebu tueleze tunapokwenda kuzika Sheikh au padri anapomwagia maji kaburini anawanga nini? sisi kanisani kwetu maji yapo mlangoni unachovya kidole unapiga alama ya msalaba ndio tunakwenda kuanza ibada, hivi ukiwa ccm ndio akili zinayeyuka kabisa? hapa wewe ndio umeonesha ni mtu wa shirki.
 
Ndugu, Imani yako naipenda sana. Lakini uwe makini na mafuta kama hayo. Watu wanatafuta hela.
Mafuta matakatifu haya nunuliwi.
Kama yangelikuwa yananunuliwa Matajiri wangekuwa watakatifu kwanza.
Na wangetakaswa nayo sana.
kwani hata kuyaoga wa naweza.
Nakupenda ndio maana nakushauri upime hiyo Imani kwanza.
Biblia inashauri kuzijaribu na kuzipima hizo Imani kwanza.
 
Nenda kwenye kanisa lolote la Kikatoliki na ndoo yako iliyojaa maji, muombe Padri ayabariki, yatakuwa anointed......
 
Waislam hawatumii maji ya baraka kwamba yameombewa na sheikh flani hapana maji ya Zamzam historia yake ni maji yaliyotokea kimiujiza na yaliombewa dua na nabii Ibrahimu yawe maji salama kwa ummah wa kiislam yani watu walio surrender kwa Mwenyezi Mungu na dini zote zinamkubali Ibrahim alikuwa Mtume sio huyu TB joshua ambaye hata baadhi ya wakristo hawamkubali. Kajipa unabii wakati unabii ulishaisha
 
Siwezi kupeleka maji kwa padri ayaombee Kwasababu mapadri ni watendadhambi tu, ni wazinzi hivo hawajafunikwa na utukufu wa mungu
Ngumbuke
 
Back
Top Bottom