.....bila kupepesa mnaongoza kwa rushwa ili mje kuwapa akina JoshuaLazima ulipie ivivu wako wa kumtafuta Mungu.
Wakristo ndo maana tunabezwa na waislam,,uvivu. Mtafuteni Bwana maadam anapatikana,mwiteni maadam yu karibu
Nenda Benjamin Mkapa Tower pale Posta, uliza pale receiption first floor watakuonyesha ofisi yao ilipo . Mara ya mwisho bei ilikuwa ni $50. Jitahidi ufike kabla ya saa nne asubuhi kwani wana muda wao wa kazi
Nadhani hulazimishwi kununua, wajinga ndio waliwao. Je akichota maji ya bomba ukayanunua chupa $50 utajuaje? Acheni kumwabudu mtu!Annointing water nayo ni jipu, litummbuliwe.
Ntakuangalizia mkapa tower niliwahi ona ofisi yake pale. Nikumbushe baada ya lisaa limoja nikupe jibuNami nahitaji morning water kuliko kawaida... kama vipi niinbox nami my dear ulivyoyapata...
Wana branch yao Dar. Kama hawajahama, wapo jengo la Benjamin Mkapa Posta, karibu na Boutique ya MariedoNaulizia wapi naweza maji ya 'Morning Water' ya TB Joshua au anajua mtu anayekwenda huko niagize?
Wana branch yao Dar. Kama hawajahama, wapo jengo la Benjamin Mkapa Posta, karibu na Boutique ya Mariedo
Nenda kawe kwenye ofisi zao
Wajinga hawaishi afrika
Maji ya tb joshua au ya kandolo mkuu?
Ata mimi mwenyewe huwa nayasikia wamapendaga kuyanywa watu wa Dar.Kandolo ndiyo nani?
Hayo Maji yana nini au yanatumikaje na yanasaidia nini.Waheshimiwa,
Naulizia wapi naweza maji ya 'Morning Water' ya TB Joshua au anajua mtu anayekwenda huko niagize?
Natanguliza shukrani.
but why?Wajinga hawaishi afrika