Msaada: Natafuta annointing water ya T.B Joshua

Msaada: Natafuta annointing water ya T.B Joshua

Ndugu Wana jf naomba kwa wanaoishi daslam mnielekeze wapi ntapata anointing water ya good morning, ya T. B Joshua anaejua hela ni pesa ngapi nisaidieni jamani nina shida na imaniyangu inaamini kupitia anointing water.

Kwanini usiyafanyie mwenyewe hiyo Anointing...Kwani unadhani kuna kitu gani cha ziada anacjofanya zaidi yakuyasemea NENO.....namna hii ndio inapelekea kudhani watumishi wa MUNGU kama wanatumia uchawi jambo ambalo sikweli...so haijalishi ninani analitamka chamuhimu umelitamka NENO la MUNGU lazima kusudi lake litimie maana anasema NENO lake halitamrudia bure
 
Kwanini usiyafanyie mwenyewe hiyo Anointing...Kwani unadhani kuna kitu gani cha ziada anacjofanya zaidi yakuyasemea NENO.....namna hii ndio inapelekea kudhani watumishi wa MUNGU kama wanatumia uchawi jambo ambalo sikweli...so haijalishi ninani analitamka chamuhimu umelitamka NENO la MUNGU lazima kusudi lake litimie maana anasema NENO lake halitamrudia bure

Tumetofautiana upako ndugu
 
Tumetofautiana upako ndugu

Umewahi kuyaombea hayo Maji yakashindwa kuleta majibu au nawee unakuwa kama wale Jamaa waliotumwa kupeleleza Nchi ya Kaanani....Wakaona majitu makubwa wakayaogopa eti...wanasema wale wanefili waliowaona wao kama maPANZI watu hamkuwakaribia mliwaona kwa Mbali sasa mlijuaje kama waliowaona kama mapanzi....so..Mkuu kama umeokoka Roho mtakatifu atakuelekeza kila kitu chakufanya...nakumbuka Roho mtakatifu hakuambii jambo 1 siku zote hasa unapomuomba atakupa kitu kutokana na wakati so...Ndugu msikikize Roho mtakatifu....hutakwama hapo zamani namimi nilikuwa naamini ktk kuombewa lkn nw nimeachana na hayo mambo Roho Mtakatifu ananielekeza kila kitu
 
Siwezi kupeleka maji kwa padri ayaombee Kwasababu mapadri ni watendadhambi tu, ni wazinzi hivo hawajafunikwa na utukufu wa mungu
Ngumbuke

Mapadri watenda dhambi!! una uhakika gani kwamba ni watenda dhambi unaweza kuthibitisha hili?.Pia una uthibitisho kwamba T.B Joshua si mtenda dhambi na ndio maana unayaamini maji yake aliyoyaombea,unaweza kuthibitisha kwamba T.B Joshua amefunikwa na utukufu wa mungu na si hisia zako tu.
 
Acheni kuwa na imani haba enyi wanadamu. Biblia inasema "Watu wangu wanaangamia kwa kukisa maarifa" lakini Pia amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu...." Yaani unashindwa kuingia faragha ukamweleza Muumba wako shida zako! Wewe mkristo gani!!Aibu kweli...

Hee hee halafu utakuta mtafuta maji ni mfanyakazi wa TRA anataka kutumia hiyo ''annointing water'' kupooza jipu lililotumbuliwa!
 
Mapadri watenda dhambi!! una uhakika gani kwamba ni watenda dhambi unaweza kuthibitisha hili?.Pia una uthibitisho kwamba T.B Joshua si mtenda dhambi na ndio maana unayaamini maji yake aliyoyaombea,unaweza kuthibitisha kwamba T.B Joshua amefunikwa na utukufu wa mungu na si hisia zako tu.

Nimetoka kwenye Familia yenye master na mapadri nawajua vzr Hao watu, c Kwamba hawampendi mungu lah! Ni kitendo cha kutooa na kuolewa.
 
hata hapa mbezi beach shuka kituo cha shule fika mbezi beach high school opposite na ukumbi wa kiramuu kuna jengo limeandikwa VCT ingia humo utakuata ofisi na GOD MORNING WATER UTAIPATA
 
Sasa haya maji huwasaidia nini? Kwanini usichote yako ukaya swalia? Kuna mstari mwembamba sana kati yenu na washirikina maana wote mnaabudu wanadamu ..! Kwani nyie hamuwezi kuswalia maji au hamna imani? Wajinga ndio waliwao...biashara hiyo...
Yalikuwa ni majibu kwa mleta mada, sio kwa wengine
 
Jaman shida nn? Mimi ndo ntayanunua na Kuya tumia nyinyi hamuwezi acheni vp Jaman

usiwe kama ---- tiba ya kiroho haiuzwi kamwe huo ni utapeli na kama unamuamini mungu fanya maombi na funga
 
Mapadri watenda dhambi!! una uhakika gani kwamba ni watenda dhambi unaweza kuthibitisha hili?.Pia una uthibitisho kwamba T.B Joshua si mtenda dhambi na ndio maana unayaamini maji yake aliyoyaombea,unaweza kuthibitisha kwamba T.B Joshua amefunikwa na utukufu wa mungu na si hisia zako tu.

Hakuna aliemkamilifu chini ya jua, wanadamu wote tunatenda dhambi
 
Unajua hizi Dini kuna watu wanazipokea na kuzielewa vibaya nahii...inatokana na wanaomiliki makanisa wengi wao kutowapa mafundisho Sahihi wanachotak...kila siku wawaabudu...ni...Upuzi.....Mfano kuna siku nilienda kwenye Kanisa 1DAR huyo jamaa....anatumia muda Mdg kuhubiri...then maombi lazima Mafuta yahusike...na .chupa ya Chupa tena ya kiwanda hicho hicho kimoja...sikurudi tena hapo Ninachofahamu Maelekezo ya Roho mtakatifu sio yakukariri inatakiwa kila Mara akupe jambo jipya lakuomba sasa kiila siku maji mafuta nasikia wengine wanauza hadi stika kama wk yanenda kwa Usalama...fuul upuuzi
 
Nashukuru nimefika dar nimepata anointing water
 
Waislam hawatumii maji ya baraka kwamba yameombewa na sheikh flani hapana maji ya Zamzam historia yake ni maji yaliyotokea kimiujiza na yaliombewa dua na nabii Ibrahimu yawe maji salama kwa ummah wa kiislam yani watu walio surrender kwa Mwenyezi Mungu na dini zote zinamkubali Ibrahim alikuwa Mtume sio huyu TB joshua ambaye hata baadhi ya wakristo hawamkubali. Kajipa unabii wakati unabii ulishaisha
Hii mitandao ya kijamii kila mtu anaongea ujinga wake
 
Back
Top Bottom