Msaada: Napigwa na mke wangu

Msaada: Napigwa na mke wangu

Kaa na mke wako muongee......tatueni matatizo yenu kwa kuongea. Afu usikubali kupigwa, mwambie asitumie nguvu atumie akili
 
Rejea kichwa cha habari
Toka nmeowa sina raha na ndoa napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefany mapenz nmewahi kumwaga kanipga kisa hajafika kileleni msaad tafadhal
duh yaani umetoka kupizi unashushiwa na kibano wakati mwili tayari umechoka. Pole sana
 
Kichapo cha wife sunna ati dogo Acha aendelee kukunyoosha. ...
 
Pole Jamani Du Kuna Wanawake Hatari, Kama Kwel Wanawake Wa Mbeya Wanapga Naeza Kukubali Mana Kuna Shemeji Yangu Hua Anapgwa Na Mke Wake Hadi Huruma Unamuonea Yani Hatakiwi Kusema Chochote Zaidi Ya Ndio Au Hapana Na Mke Wake Akitoka Nje Anasimulia Nimemtandika Sana Mume
 
Pole Jamani Du Kuna Wanawake Hatari, Kama Kwel Wanawake Wa Mbeya Wanapga Naeza Kukubali Mana Kuna Shemeji Yangu Hua Anapgwa Na Mke Wake Hadi Huruma Unamuonea Yani Hatakiwi Kusema Chochote Zaidi Ya Ndio Au Hapana Na Mke Wake Akitoka Nje Anasimulia Nimemtandika Sana Mume
Huyo shemeji yako wa mkoa gani vile?
 
Samahani mkuu,nimejibu kwa hasira.Unajua JF ina majukwaa mengi,watu wameng'ang'ania upande ule pendwa kisa BASHITE mpaka wanasahau majukumu ya kifamilia.Badala ya kumuandaa mpenzi wako,unamsimulia story za vyeti feki vya BASHITE,kweli??? Mwanamke akichepuka aje kulia lia JF!!! Maajabu!
 
Thread zako zinaashiria unanyemelewa na tatizo la ushoga kuwa makini
 
Samahani mkuu,nimejibu kwa hasira.Unajua JF ina majukwaa mengi,watu wameng'ang'ania upande ule pendwa kisa BASHITE mpaka wanasahau majukumu ya kifamilia.Badala ya kumuandaa mpenzi wako,unamsimulia story za vyeti feki vya BASHITE,kweli??? Mwanamke akichepuka aje kulia lia JF!!! Maajabu!
Mkuu usijali kuchepuka ni tabia ya mtu lakini mwanamke anae jitambua huchukua jukumu la kuzungumza na Mme wake na swala la mke kumpiga Mme ujue Mme hajitambui anaweza akawa mlevi au anatumia madawa ya kulevya na asiwe na maamzi juu ya mwili na utimamu wa akili mwanaume anae jitambua huwezi kupigwa na mke wake
 
utakua umeoa mtu wa Mbeya nini? Tafiti zaonesha unyanyasaji wa kijinsia kwa wanaume umekithiri sana Mbeya (sina source)

Pole sana mkuu! Kua kidume. Wanawake nao wanaangalia dizain ya wanaume wa kuwaonea!
Weeeeee kuwa makini na kauli zako utafiti huo umeutoa wapi ?
 
Rejea kichwa cha habari
Toka nmeowa sina raha na ndoa napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefany mapenz nmewahi kumwaga kanipga kisa hajafika kileleni msaad tafadhal
hahahaha happy women day haaaaaaaaaaa nimecheka sana kwakweli
 
Ukitoka hapa kimbia kanisani kamwage chozi. Daudi mkubwa wee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom