Msaada: Napigwa na mke wangu

Msaada: Napigwa na mke wangu

Ni aibu sana. Mwanaume kupigwa na mke wake. Ww ndio baba wa nyumna.. mke anakupigaje? Mfumue.. mpaka apate akili
 
Rejea kichwa cha habari
Toka nmeowa sina raha na ndoa napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefany mapenz nmewahi kumwaga kanipga kisa hajafika kileleni msaad tafadhal
Mwambie akatoe mahali kwenu.
Ndo kakuoa hivyo, uliyotoa wewe akurudishie maana yeye ndo mwanaume ndani!!
 
nawewe mpige, we vipi, au, uanaume wako una shaka, hii ndio shida ya kuoa mwanamke giant, ukitaka kuoa chagua unaemzidi nguvu.
 
Rejea kichwa cha habari
Toka nmeowa sina raha na ndoa napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefany mapenz nmewahi kumwaga kanipga kisa hajafika kileleni msaad tafadhal
Kwani wewe ni kutoka ile nchi ya jirani? Maana huko ndiyo nnasikiaga case nyingi za wanaume kupigwa na wake zao
 
Pole wala wanawake wa mbeya hatupigi mwaya maana hatuna uwezo huo tunayo adabu.

Shida ww bishororo unafikir dada wa watu akufanyeje?kam huelekei upigwe tuu.
Nb;mby ni watafutaji na si wapigai
 
Mwanaume mwenzangu nakupa pole sanaaaa !!
 
utakua umeoa mtu wa Mbeya nini? Tafiti zaonesha unyanyasaji wa kijinsia kwa wanaume umekithiri sana Mbeya (sina source)

Pole sana mkuu! Kua kidume. Wanawake nao wanaangalia dizain ya wanaume wa kuwaonea!
We tutake radhi wanaume mbeya huwa hawapigwi na sijawahi ona huku mbeya mwanaume akipewa kipondo na mwanamke
 
Ushauri wa bure hamia uku kwetu tarime mkoa Mara Siku mbili tu atanyooka [HASHTAG]#kanda[/HASHTAG] maalum#
 
Yaani unalambwa makofi unakaa kimya??? Hiki kizazi dhaifu sana
 
Rejea kichwa cha habari
Toka nmeowa sina raha na ndoa napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefany mapenz nmewahi kumwaga kanipga kisa hajafika kileleni msaad tafadhal


we utakuwa 'nyondenyonde' tu.. cheki jina 'bishororo' linaakisi kupigwa tu

MPE show hata za kuiga...we unaihurumie 'K' wadhani ni sabuni...sugua hata na tochi.. alaa!
 
Back
Top Bottom