Msaada: Napigwa na mke wangu

Msaada: Napigwa na mke wangu

acha kuwa legelege we kama mlenda....tatizo wanaume wa daa mchelemchele sana
 
Rejea kichwa cha habari,

Toka nimeoa sina raha na ndoa, napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefanya mapenzi nimewahi kumwaga kanipiga kisa hajafika kileleni.

Msaada tafadhali
Kwa nini ulioa kabla wazazi wako hawajakutia elimu ya ndoa? Unafikiri kwa akili zako za kutokujua lipi linaongelewa wapi utapona kupigwa na mkeo?
Ushauri pekee ninaweza kukupa Mimi ni urudi kwa baba yako mzazi,kama mama yako hakukuonyesha, mshurutushe akuonyeshe. Huyo ndiye umpelelekee hayo maswali yako.
Lazima utakuwa na baba kwa kuwa umbaaji ndivyo ulivyo.
POLE SANA KWA KUKOSA MALEZI SAHIHI.
 
Yaani unalambwa makofi unakaa kimya??? Hiki kizazi dhaifu sana
hujaelewa nini mkuu? kasema akipanda tu kama kuku, chwaaa, ujasiri wa kurudisha ngumi utautoa wapi mkuu? pia hajakaa kimya ndo maana analia humu jf.
 
Then wewe bwege, oa mke ambae hana mikono uone kama atakupiga
 
hahhahah hivi kumbe mpo wanaume wa hivyo
 
Ubishoo wenu huo unakuta mwanaume hata kupandisha suruali ya mlege unashindwa sijui nguvu mnapeleka wapi, nasema ivi wakutwange tu.
 
Kapigwe tena akug'oe meno ulimpenda mwennyewe kama huna nguvu vumilia kipigo mpaka utakapo jitambua ili nawe umurudishie zari atakuogopa
 
Rejea kichwa cha habari,

Toka nimeoa sina raha na ndoa, napigwa na kunyanyaswa na mke wangu.
Jana tumefanya mapenzi nimewahi kumwaga kanipiga kisa hajafika kileleni.

Msaada tafadhali

Utakuwa hutoki Rorya wewe!comfermed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom