Msaada naona hii hating capacity itaniumiza

Mm sijasema uanzishe mahusiano mengine dear ,, nimetoka kuachana na mume wangu wa ndoa , kipi unadhani kinauma kati ya ndoa na mahusiano tu???

Kuna mahali ulikosea ulipoona dalili penzi linalega lega ulitakiwa kuanza kuchukua tahadhari ,kuset akili yako na kujipanga na maisha mapya ,

Muda ni kila kitu kwenye maumivu kama haya ila tu usitake kujua habari yake yoyote ile mm niliblock watu kila kona ,yani aloniletea habari zake ni block tu nilijiweka mbali nae sikujua yuko wapi wala anafanya nn , nikasahau kila kitu ,nikasonga mbele sasa nimeanza maisha upya sijutii kwa lolote lile namshukuru Mungu kwani nilichagua kupata mwamvuli wangu ,najikinga na jua kali
Naogopa kuanzisha mahusiano mengine naona n mapema mnooo nataka nipone kwanza like 2-6 years

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana but ni easy ila unachotakiwa kufanya ni kusetup akili yako na next unapokua ktk mahusiano usiweke a 100% huwez breakup hilo litakuumiza km ilivyo sasa,but hutakiwi kuwachukia wanaume coz we are different kwenye kila sector na unategemea break-up ilisababishwa na nn coz there's many many things inside the relationship vinahappen na ukitumia utashi wa kawaida kuvitatua unakuta unafail ,hapo unatakiwa utatue tatizo kwa kuangalia positive way na wema alokutendea all the time mlikua wote,hakuna man yuko perfect ila watu huingia kwenye relations wakiangalia km yale mapungufu alonayo yanaweza kurekebishika au yanavumilika ,

Kingine ni kwamba uneed to take this time to think about urside una mapungufu gan ili uweze kuyarekebisha ili for the next yasijirudie coz naamini pia ww una mapungufu yako ambayo huwenda yalichangia kuvunja hayo mahusiano.

Nadhani ntakua nimejaribu kwa kiasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabisa unatushauri tuwe na mchepuko. Halafu mje kutuchoma na magunia mawili ya mkaa
. Pia muanze kutusema jinsi tusivyo waaminifu..mkoje nyie?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooh my Gossh

22Yrs aiseee am so sorry for what happened


But kwa umr ulonao Niko na more than 79% tatizo ulokua nalo nadhani ni wivu mwingi na hii inawezekana ni sababu iliyochukua Zaid ya 90% ya hayo mahusiano kuvunjika,

It's ok lkn km hutojali niPm naweza kukuelimisha zaid By kesho Jion km utakua na Time.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I put my two legs inside there
....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stay blessed


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulikuwa na mapenzi ya dhati kwake unahitaji kuwa na mtu karibu kwa ajili ya kukufariji
Mtu unaeweza kufunguka kwake unachojiskia akawepo kukusikiliza ata rafiki anatosha
At least nmesema huku JF I feel a little relief
moyo ulitaka kuburst yan...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…