Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Jamani mi natarajia kumaliza chuo kikuu mwaka huu B.A in Marketing lakini ndoto yangu ni kujiajiri na si kuajiriwa ila sasa tatizo sielewi nianzie wapi kama mnavoijua elimu yetu. Nipeni somo wadau. Nipo Mwanza.