chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,696
- 22,729
Habari wanabodi.
Kwa wale madereva wenzangu wa magari naomba muongozo wenu namna ya kupata leseni mpya au ku-renew baada ya niliyonayo kupita muda wake wa matumizi.
Hii niliyonayo ilitolewa tarehe 15/10/2012 na itaisha muda wake wa matumizi tarehe 14/10/2015.
Kwa hiyo anayefahamu utaratibu wa kupata leseni mpya naomba anijuze.
Natanguliza shukrani.
Kwa wale madereva wenzangu wa magari naomba muongozo wenu namna ya kupata leseni mpya au ku-renew baada ya niliyonayo kupita muda wake wa matumizi.
Hii niliyonayo ilitolewa tarehe 15/10/2012 na itaisha muda wake wa matumizi tarehe 14/10/2015.
Kwa hiyo anayefahamu utaratibu wa kupata leseni mpya naomba anijuze.
Natanguliza shukrani.