Habari za muda huu?
Nina miaka 19 ni kijana wa kiume nina leseni ya udereva daraja D, nina cheti cha Veta pamoja na cheti cha form four.
Ninaishi mkoa wa Kigoma wilaya ya Kigoma mjini, ninatafuta kazi ya udereva iwe, kwa watu binafsi, mashirika, makampuni, taasisi n.k.
Kwa yeyote mwenye kujua wapi ninapoweza kupata kazi hiyo au mwenye uhitaji wa dereva naomba uniambie tafadhali iwe hapa mkoani Kigoma au hata nje ya mkoa.
Lakini pia kama kuna ushauri unaweza kuniambia. Asanteni!
Nina miaka 19 ni kijana wa kiume nina leseni ya udereva daraja D, nina cheti cha Veta pamoja na cheti cha form four.
Ninaishi mkoa wa Kigoma wilaya ya Kigoma mjini, ninatafuta kazi ya udereva iwe, kwa watu binafsi, mashirika, makampuni, taasisi n.k.
Kwa yeyote mwenye kujua wapi ninapoweza kupata kazi hiyo au mwenye uhitaji wa dereva naomba uniambie tafadhali iwe hapa mkoani Kigoma au hata nje ya mkoa.
Lakini pia kama kuna ushauri unaweza kuniambia. Asanteni!