Msaada: Namna ya kuanzisha biashara

Msaada: Namna ya kuanzisha biashara

ufumawicha

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2014
Posts
510
Reaction score
213
niko mpanda nina sh 200000 ninaomba ushauri nifanye biashara gani
 
mwaka jana nilikodi shamba la ekari 1 gharama zote hadi kuvuna zikawa sh 175000 nilivuna mahindi debe 10 na karanga debe 2.Nilipata hasara
 
Anza biashara ya kuuza miwa,au mihogo,au mahindi ya kuchoma kwenye mtaa ulio na watu wengi utatoka aisee,tafuta wakulima wa miwa,mihogo na mahindi kila kimoja kwa msimu wake jenga urafiki nao ili upate bei nzuri,hapa unaweza kufanya biashara kwa mika 2 au 3,mtaji ukikuwa fungua banda la chips acha miwa ,mihogo na mahindi hapa utafanya kwa miaka 2, mtaji ukikuwa kununua pikipiki mpe mtu upate kipande chako 7,000 kwa siku,wewe baki kwenye banda la chips mtaji ukikuwa nunua toyo uanze biashara ya ushafirishaji mjini, wewe baki kwenye banda la chips hapo hapo sasa una pikipiki,toyo na banda la chips.weka lengo la kufanya biashara ya usafirishaji mizigo na watu,ukianzia mkoani humohumo,mtaji ukikuwa nunua taxi.sasa utakuwa unapanua biashara zako pikipiki,banda la chips,toyo na taxi.after 10 years nipigie simu nitakupa mbinu nyingine za kuwa millionea kama mimi.
 
Anza biashara ya kuuza miwa,au mihogo,au mahindi ya kuchoma kwenye mtaa ulio na watu wengi utatoka aisee,tafuta wakulima wa miwa,mihogo na mahindi kila kimoja kwa msimu wake jenga urafiki nao ili upate bei nzuri,hapa unaweza kufanya biashara kwa mika 2 au 3,mtaji ukikuwa fungua banda la chips acha miwa ,mihogo na mahindi hapa utafanya kwa miaka 2, mtaji ukikuwa kununua pikipiki mpe mtu upate kipande chako 7,000 kwa siku,wewe baki kwenye banda la chips mtaji ukikuwa nunua toyo uanze biashara ya ushafirishaji mjini, wewe baki kwenye banda la chips hapo hapo sasa una pikipiki,toyo na banda la chips.weka lengo la kufanya biashara ya usafirishaji mizigo na watu,ukianzia mkoani humohumo,mtaji ukikuwa nunua taxi.sasa utakuwa unapanua biashara zako pikipiki,banda la chips,toyo na taxi.after 10 years nipigie simu nitakupa mbinu nyingine za kuwa millionea kama mimi.

Wazo zuri mnoo..
Ila very theoretical
 
Anza biashara ya kuuza miwa,au mihogo,au mahindi ya kuchoma kwenye mtaa ulio na watu wengi utatoka aisee,tafuta wakulima wa miwa,mihogo na mahindi kila kimoja kwa msimu wake jenga urafiki nao ili upate bei nzuri,hapa unaweza kufanya biashara kwa mika 2 au 3,mtaji ukikuwa fungua banda la chips acha miwa ,mihogo na mahindi hapa utafanya kwa miaka 2, mtaji ukikuwa kununua pikipiki mpe mtu upate kipande chako 7,000 kwa siku,wewe baki kwenye banda la chips mtaji ukikuwa nunua toyo uanze biashara ya ushafirishaji mjini, wewe baki kwenye banda la chips hapo hapo sasa una pikipiki,toyo na banda la chips.weka lengo la kufanya biashara ya usafirishaji mizigo na watu,ukianzia mkoani humohumo,mtaji ukikuwa nunua taxi.sasa utakuwa unapanua biashara zako pikipiki,banda la chips,toyo na taxi.after 10 years nipigie simu nitakupa mbinu nyingine za kuwa millionea kama mimi.

Biashara ingekuwa Riwaya kama hii watu wasingepata tabu kuja kuomba ushauri hapa JF
 
Anza biashara ya kuuza miwa,au mihogo,au mahindi ya kuchoma kwenye mtaa ulio na watu wengi utatoka aisee,tafuta wakulima wa miwa,mihogo na mahindi kila kimoja kwa msimu wake jenga urafiki nao ili upate bei nzuri,hapa unaweza kufanya biashara kwa mika 2 au 3,mtaji ukikuwa fungua banda la chips acha miwa ,mihogo na mahindi hapa utafanya kwa miaka 2, mtaji ukikuwa kununua pikipiki mpe mtu upate kipande chako 7,000 kwa siku,wewe baki kwenye banda la chips mtaji ukikuwa nunua toyo uanze biashara ya ushafirishaji mjini, wewe baki kwenye banda la chips hapo hapo sasa una pikipiki,toyo na banda la chips.weka lengo la kufanya biashara ya usafirishaji mizigo na watu,ukianzia mkoani humohumo,mtaji ukikuwa nunua taxi.sasa utakuwa unapanua biashara zako pikipiki,banda la chips,toyo na taxi.after 10 years nipigie simu nitakupa mbinu nyingine za kuwa millionea kama mimi.


mkuu livescore , heshima kwako ndugu.

Kwa mtu (kijana) mwenye mtaji wa Tsh Laki 8 net, waweza mshauri biashara gani kwa kipindi hiki?
Preferably iwe biashara ya kukimbiza... yani ananunua na kwenda kuuza na kugeuka tena fasta. Ni kijana ambaye yupo tayari kuingia mkoa wowote ule.

Ahsante.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom