Hekima ni Mwalimu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2015
- 222
- 413
Jamani aliye na uzoefu wa hii biashara anipe maarifa zaidi Nina mpango wa kuanza &
Inatakiwa niwe na mtaji wa sh ngapi ili nifanye kwa ubora zaidi ?
&
Profit yake uwa inakuaje kwa anaye hijua jamani please msaada?
Inatakiwa niwe na mtaji wa sh ngapi ili nifanye kwa ubora zaidi ?
&
Profit yake uwa inakuaje kwa anaye hijua jamani please msaada?