Msaada: Nakosa Usingizi.

Msaada: Nakosa Usingizi.

Hehehe, siku hizi tumenunua visu vipyaa vya kuchunia. Ukija tena tustue eeh.
afu wewe tatizo lako kubwa hupati ile cahkula motomoto ya usiku. Unajua ni bonge la piriton? Ukipata ile unalala kama mtoto unastuka asubuhi (unless umepata kwa changudoa, manake atasema na wallet)

Hahaha, sa hv wallet yangu ni michuno proof. . .
Hiyo hoja ya chakula ya usiku naona kama inahuu vile.
 
Mwisho wa mwaka umefika karibia unaenda uchagana,,,,,Poleeeee... Panga maneno mapema kwenda kueleza kwenye kikao cha familia halafu mwombe Mungu atakusaidia

Mimi ndo katibu wa kikao cha ukoo tena, sijiumi umi maneno hovyo hovyo.
 
Ooh,pole sana!for how long have you been in that situation?it might be a serious issue..u mean husinzii mchana even after staying like a watchman all the night long?

Thnx marie,it all started almost 3 weeks ago. Mchana sizinzii coz most of the times niko kwenye mishe mishe, but usiku ndo hivyo, nalala 20 mins nimeamka sina usingizi, inabidi nichukue laptop nisongeshe na kazi mpaka kwenye saa kumi hvi ndo naanza kusikia ka uchovu then nalala mpaka saa 12 then from there nakua kitandani tu mpaka niamue kuamka.
 
Baba, siku hizi tunatumia acid, hakuna wallet inayochunika hata iwe ya askofu, sheikh ama :confused2: Yeyote.
zingatia hiyo dozi ya soul food afu uniambie. Yaani ukichoka wewe gangamala nayo, unalala like a baby na katabasamu usoni
Hahaha, sa hv wallet yangu ni michuno proof. . .
Hiyo hoja ya chakula ya usiku naona kama inahuu vile.
 
Baba, siku hizi tunatumia acid, hakuna wallet inayochunika hata iwe ya askofu, sheikh ama :confused2: Yeyote.
zingatia hiyo dozi ya soul food afu uniambie. Yaani ukichoka wewe gangamala nayo, unalala like a baby na katabasamu usoni

Haha! Ngoja ntaweka majivu kwenye wallet, .halaf ela nyingi ni virtual money natembea nayo. . .simbanking, nmb mobile na mpesa, hampati ki2 tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom