Matango pori!Naanza na haya maswali kwanza..;
1. Je, ulishawahi kuota unaingiliwa kimwili na mwanaume mwenzako!?
2. Ulishawahi kushiriki hivi vitendo ulipokuwa mdogo(na marafiki au kubakwa)!?
3. Maumbile yako yapo kiume..au una mwili soft, hips zimetanuka kuliko kawaida na kifua chako kipoje!? ..Ntaomba unijibu...
Haya tuendelee. Iko hivi mkuu...
1. Kuna sababu nyingi ila moja wapo ni hili tatizo la kisaikologia na usipolisolve lina madhara makubwa baadae cuz hizi pande mbili zinazovutana kuna moja lazima itashinda tu na itakayoshinda alwayz ni ile mbaya.... Jitahidi kujiepusha na kuwatazama sana wanaume cuz itakufanya iyo tabia izidi na kama hadi unaota hizo ndoto hapo ni mbaya zaidi mkuu..
2. Wengine wazaliwa hivi (siamini kama wewe ni mmoja wao) ingawa huwa wanapona baada ya tiba fulani hivi HOSPITALINI..
Ngoja niishie hapa kwa leo..
Hakuna dawa ya ushoga, hii ni tabia kama tabia nyingine ukitaka unaendelea au unaacha, hakuna kidonge cha kuzima hamu za ngono!

