usiende dukan. Nenda muhimbili.....eleza shida yako.....kutegemea na maelezo yako watajua shida nin,kana...itakuwa hormone....watafanya vipimo....kama sio(psychological.thing) watakupeleka.....panapo husika......MKUU...USIMEZE DAWA BILA KUSHAURIWA NA WATAALAMU hormones zina madhara mengi sana...kama...kupunguza nguvu za kiume.....kubadili tabia ya mtu.....nknimeambiwa dawa za hormone zipo muhimbili vipi pharmacy
naogopa kumweleza daktar face 2 faceusiende dukan. Nenda muhimbili.....eleza shida yako.....kutegemea na maelezo yako watajua shida nin,kana...itakuwa hormone....watafanya vipimo....kama sio(psychological.thing) watakupeleka.....panapo husika......MKUU...USIMEZE DAWA BILA KUSHAURIWA NA WATAALAMU hormones zina madhara mengi sana...kama...kupunguza nguvu za kiume.....kubadili tabia ya mtu.....nk
mkuu daktari nii mtu anaetunza siri nyingi nzito kuliko mtu yeyote yule nakuhakikishia.....ma DR. wanaona vitu vya ajabu sana.....sijaona sababu yakumwogopa.....naoh
naogopa kumweleza daktar face 2 face
mkuu daktari nii mtu anaetunza siri nyingi nzito kuliko mtu yeyote yule nakuhakikishia.....ma DR. wanaona vitu vya ajabu sana.....sijaona sababu yakumwogopa.....naoh
naogopa kumweleza daktar face 2 face
Si unajua kula.lazima nawewe uliwe?? In JK voicenimkule
Pole mdogo Wangu..hiyo picha hapo inahusiana na wewe? Nijibu then tuendeleeulikua unanisanifu kumbe
East coast imekuharibu sana kumbe tunayoyasikia huku mtaani kuhusu tabia zenu ni kweli!!what
what?
Ha ha ha eti tushakupotezaKama hyo picha kwenye avatar ni wewe basi tushakupoteza.
ok thanksKwanza pole sana. Pili kama hiyo picha hapo kwenye avatar inaendana na wewe (ya kwako) au umevutiwa na pozi la huyo kijana basi naomba uanze kubadilika hapahapa! Ujasiri hujengewi, ujasiri unajijengea mwenyewe. Anza kwanza kutoa hiyo picha weka picha zenye staha ya kiume. Kama unapenda pozi hizo jenga kwanza ujasiri wa kuachana nazo.
Lingine nimeona kuwa wewe hasa unatamani ushoga. Hiyo inatokana na hisia nyingi ulizojijengea juu ya jambo hilo. Najua hutaweza kusema ila pengine unaangalia video za aina hiyo. Acha hilo pia.... Baada ya hapo sali na jiamini...... Maumivu yakiendelea baada ya hapo basi muone daktari kwa kuwa utakuwa umeathiriwa na mfumo ila kwa sasa mimi naona umetekwa zaidi na hisia. Usiziendekeze, anza na hiyo avatar sasa!