Piga salute mm ndo Rais wa WasukumaUle mhola ngosha
nilishawai kukuomba hela mkuu?Miss Natafuta bwana tatizo ni ule mtihani wako wa mwisho wa kuomba hela, ila unaonekana we ni kazi kazi.
Mkuu endelea kufuatilia
hehehehehenilishawai kukuomba hela mkuu?
ndio unataka tufunge ndoa?Mis natafta je? Unataka ndoa??
Hapana ila katika uzi wa Nyani Ngabu juu ya namba yake kufutwa kisa pesa ulipoint kua kwako kuomba hela hua ni mtihani wa mwisho ili kumuingiza mtu moyoni.nilishawai kukuomba hela mkuu?
OK NIMEKUELEWA .NI KWELI HYO NI INTERVIEW YANGU UKIFAULU HIYO BASIHapana ila katika uzi wa Nyani Ngabu juu ya namba yake kufutwa kisa pesa ulipoint kua kwako kuomba hela hua ni mtihani wa mwisho ili kumuingiza mtu moyoni.
Hapa nimeandika kimasikhara, samahani kwa kukukera.
Wee hapanandio unataka tufunge ndoa?
Heshima na salut kwa unaempaOK NIMEKUELEWA .NI KWELI HYO NI INTERVIEW YANGU UKIFAULU HIYO BASI
Kawaida mwache kijana atafute makinikia uwoga wako ndio umasikini wako go kijana tena ukimpata piga kweli kweli.Vijana bhana, amezimika na mtu hata hawezi kuimajini yukoje mmmh Tanzania ya makinikia