Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 10,142
- 12,188
Hivi tuseme miss natafuta mwenyewe kashikwa na kigugumizi gani na mleta uzi huu?
Maana anajibu post tofauti na za mtoa mada!
Miss kama mtu amekuzimikia, ingilika. Atakayekuzika haumjui.
Kinachowavutia watu ni aina ya comments na thread zako unazo post humu. Yaan ni kavukavu, dongo kwa dongo.
Sasa kuna wanaume wengine wanahusudu demu wa kiivyo, wanaoenda stori zaidi hawaangalii sura yako upoupoje.
Mtu anayetangaza nia tena hadharani namna hii anastahili kusikilizwa, yawezekana akawa na nia njema, kakosa tu sehemu ya kuanzishia maongezi na wewe.
Maana anajibu post tofauti na za mtoa mada!
Miss kama mtu amekuzimikia, ingilika. Atakayekuzika haumjui.
Kinachowavutia watu ni aina ya comments na thread zako unazo post humu. Yaan ni kavukavu, dongo kwa dongo.
Sasa kuna wanaume wengine wanahusudu demu wa kiivyo, wanaoenda stori zaidi hawaangalii sura yako upoupoje.
Mtu anayetangaza nia tena hadharani namna hii anastahili kusikilizwa, yawezekana akawa na nia njema, kakosa tu sehemu ya kuanzishia maongezi na wewe.