Msaada: naitaji kuwa rafiki Wa karibu na miss natafuta Wa JF

Hivi tuseme miss natafuta mwenyewe kashikwa na kigugumizi gani na mleta uzi huu?
Maana anajibu post tofauti na za mtoa mada!
Miss kama mtu amekuzimikia, ingilika. Atakayekuzika haumjui.
Kinachowavutia watu ni aina ya comments na thread zako unazo post humu. Yaan ni kavukavu, dongo kwa dongo.
Sasa kuna wanaume wengine wanahusudu demu wa kiivyo, wanaoenda stori zaidi hawaangalii sura yako upoupoje.
Mtu anayetangaza nia tena hadharani namna hii anastahili kusikilizwa, yawezekana akawa na nia njema, kakosa tu sehemu ya kuanzishia maongezi na wewe.
 
Hivi tuseme miss natafuta mwenyewe kashikwa na kigugumizi gani na mleta uzi huu?
Maana anajibu post tofauti na za mtoa mada!
Miss kama mtu amekuzimikia, ingilika. Atakayekuzika haumjui.
Kinachowavutia watu ni aina ya comments na thread zako unazo post humu. Yaan ni kavukavu, dongo kwa dongo.
Sasa kuna wanaume wengine wanahusudu demu wa kiivyo, wanaoenda stori zaidi hawaangalii sura yako upoupoje.
Mtu anayetangaza nia tena hadharani namna hii anastahili kusikilizwa, yawezekana akawa na nia njema, kakosa tu sehemu ya kuanzishia maongezi na wewe.
Intelligent comment, naumia kweli mkuu miss natafuta hata hajali mm ndo nimeandika hiyo thread
 
Ndg zangu Amani ya bwana iwe nanyi, naomba niweke wazo langu na nia yangu ya muda mrefu inayochoma moyo wangu.

Nimekuwa nikiangalia kwa muda mrefu sana juu ya busara za Dada yetu maarufu kama MISS NATAFUTA Wa humu jf namna alivyo na hoja nzuri, anajitambua, mwenye mawazo mapana zaidi na mwenye uelewa Wa hali ya juu sana hivyo kuweza kunivutia mm na nimeamua rasmi kuanza urafiki Wa karibu na miss natafuta.

Kama ataona hii post naomba aje pm please au kama uko karibu nae naomba unisaidie kufikisha ujumbe wangu kwake.

Nakupenda sana miss natafuta.
Kwa huyo nenda tu mkapigane maana ameshatendwa hadi amechoka,ikishindikana nenda kwa lile li ndumbisa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom