Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,986
nimechekea balaaa!!sina nauli ndio kwani kuna ubayaa!!!!Wewe mmamkua umekosa nauli ya hapo mbagala kwenda kwenu huko namajani?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
nimechekea balaaa!!sina nauli ndio kwani kuna ubayaa!!!!Wewe mmamkua umekosa nauli ya hapo mbagala kwenda kwenu huko namajani?
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesikia huku Ngorongoro? Unatisha wenzako tu mkuu. Hakuna Simba huku. Bata batani tuKila la kheri mkuu.Angalia usiliwe na simba tu.
Unaweza kuwa jirani yangu wewe huku maliasili mpya
Princess ariana habari za siku nyingi?ukifika mjini pale lodge zimejipanga mpaka TK unachagua unayotaka...
ila hizi booking utadhani unaenda cape verde mkuu
mbona mapema sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliza Adamu viazi,ni Hotel nzuri Sana hutajuta,pia Kuna vimwana vya kumwaga,ukiona vipi sehemu ya burudani uliza kibo bar,Kuna vyakula vya kila aina ,vinywaji Kama vyote na wasichana wa nguvu.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu kwa maeneo ya kufikia Masasi. Pia nimeona michango zaidi ya mambo mengine ya kufanya au kwenda kuona nikiwa Masasi. Kwa wale mliopo Masasi, ni matumaini yangu panapo majaaliwa tutaonana kwenye baadhi ya sehemu za burudani ama sehemu za mahitaji muhimu. Mbarikiwe sana.
Mwisho wa mwezi huu naenda masasi ni DM kama utakua tayari tuondoke.nimechekea balaaa!!sina nauli ndio kwani kuna ubayaa!!!!
Tukutane Kibo.Nawashukuru wote kwa ushauri wenu kwa maeneo ya kufikia Masasi. Pia nimeona michango zaidi ya mambo mengine ya kufanya au kwenda kuona nikiwa Masasi. Kwa wale mliopo Masasi, ni matumaini yangu panapo majaaliwa tutaonana kwenye baadhi ya sehemu za burudani ama sehemu za mahitaji muhimu. Mbarikiwe sana.
Masasi kwa uzinzi ni hatari..Uzuri wa Lodge za masasi, ikifika usiku unagongewa mlango na muhudumu! " Kaka samahani Kuna dada anaomba ulale nae Hadi asbh" , unagegeda mzigo kiulaiiiini!
Angalizo: watoto wa kimakua wanajua show ukijisahau unakabidhiwa mikorosho na kwenu unasahau
Masasi guest houses ni nyingi zaidi ya Mtwara mjini.zipo za hali yote pia bei yoyoteNategemea kwenda Masasi, Mtwara mwezi September 2021 kwa wiki moja. Hii itakuwa mara ya kwanza kufika maeneo hayo ya kusini.
Nitashukuru kwa mawazo ya members humu ni wapi maeneo mazuri ya kufikia (guest houses) ambayo ni salama na iko maeneo ya mjini, na yenye gharama za wastani.
Natanguliza shukrani kwa recommendations.
Kuna simba-watu.Kuwa makini.Ukifa "usilie"!😂😂😂😂Umesikia huku Ngorongoro? Unatisha wenzako tu mkuu. Hakuna Simba huku. Bata batani tu
Kwa adamu viaziNategemea kwenda Masasi, Mtwara mwezi September 2021 kwa wiki moja. Hii itakuwa mara ya kwanza kufika maeneo hayo ya kusini.
Nitashukuru kwa mawazo ya members humu ni wapi maeneo mazuri ya kufikia (guest houses) ambayo ni salama na iko maeneo ya mjini, na yenye gharama za wastani.
Natanguliza shukrani kwa recommendations.
Unavyosema masasi yote utadhani unaongelea dsm..wakati ukitoka tokula mpaka mtadi,silabu mpka nangaya ni kitendo cha dakika 10 tu kwa pikipiki..au unazungumzia masasi ipi?Hakuna mtu anayezijua guest/lodge nyingi Kama BODABODA Mimi.
Mkuu ukija usiache kunitafuta ntakutembeza masasi yote
Nishasikia sana hizi hadithi za kugongewa watu kwa Mtwara na Masasi, lakini nimelala lodges tofauti tofauti hapo Masasi kwa safari zangu nyingi tu lakini sijawahi kutana na hiyo kadhia.Uzuri wa Lodge za masasi, ikifika usiku unagongewa mlango na muhudumu! " Kaka samahani Kuna dada anaomba ulale nae Hadi asbh" , unagegeda mzigo kiulaiiiini!
Angalizo: watoto wa kimakua wanajua show ukijisahau unakabidhiwa mikorosho na kwenu unasahau
Labda unaonekana Kama baba parokoNishasikia sana hizi hadithi za kugongewa watu kwa Mtwara na Masasi, lakini nimelala lodges tofauti tofauti hapo Masasi kwa safari zangu nyingi tu lakini sijawahi kutana na hiyo kadhia.
Hahaaa..aende kulala budodolelo au pililimpila.Labda unaonekana Kama baba paroko