jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 19,092
- 35,888
Unakuja kununua kangomba..una shamba..?September siyo mbali, halafu natoka nje ya Tanzania. Hivyo utaona kwanini plans ni mapema
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakuja kununua kangomba..una shamba..?September siyo mbali, halafu natoka nje ya Tanzania. Hivyo utaona kwanini plans ni mapema
Acha uongo Ludewa ni nje ya TZ?September siyo mbali, halafu natoka nje ya Tanzania. Hivyo utaona kwanini plans ni mapema
Isizidi TZS 70,000 kwa sikuNi vizuri ukasema bajeti yako ya hotel ili nikushauri vizuri
Wamakuwa mna mbwembwe sanaa😂😂Ni kwenda kuangalia fursa tu zinazopatikana huko
Kipo chumba Cha kupanga 20,000 kwa mweziIsizidi TZS 70,000 kwa siku
Kumbe Hadi huko watu wanakula Bata?Nilikula bata sana pasaka pale kiongozi ,uwekezaji mkubwa ila
Wewe bila shaka tunafahamiana.
Mmakua gani huyu hajawahi fika masasi mjini..huyu atakua matu wa kaskazini.Wamakuwa mna mbwembwe sanaa
Kwa bajeti yake aende rosemary au rock city.Zipo Tu nyingi pililila,dololelo,saiduni za kawaida kuanzia 5k mpaka 15k pia zipo zingine BR,rock city ,na Chande kuanzia 15k AC,self contained na breakfast n.k
Umenikumbusha chaka langu la budodolelo..Zipo Tu nyingi pililila,dololelo,saiduni za kawaida kuanzia 5k mpaka 15k pia zipo zingine BR,rock city ,na Chande kuanzia 15k AC,self contained na breakfast n.k
Wewe mmamkua umekosa nauli ya hapo mbagala kwenda kwenu huko namajani?Unipe lift
Akitaka hizo huduma zipo sana tu..BR hotel,Iwawa night club,mahenge shimoni n.khuu uzi ni batili mbona hauna mambo ya kusukumana kizazi au hayapo uko?
Inawezekana mana masasi ndogo sana.Wewe bila shaka tunafahamiana.
Umefanya jambo zuri maana unaweza kugongana na ziara ya Mwenge ikakugharimukwenda kulala mji mwingineSeptember siyo mbali, halafu natoka nje ya Tanzania. Hivyo utaona kwanini plans ni mapema
Iko cheap Ila pazur kulingana na bei