kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 7,629
- 7,395
Labda....Labda unaonekana Kama baba paroko
Labda....Labda unaonekana Kama baba paroko
Hahahaha ni Ludodolelo mkuu na hii nyingine ni Pililila ipo Kule kaumu mdanani kwa chini. Imekaa mazingira mazuri Sana kiasi kwamba unaingiza make wa mtu na jamaa yake umepita msikitini pale lakin hawezi kumuonaHahaaa..aende kulala budodolelo au pililimpila.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni Fulsa za huko basi kalale mbele ya masasi kule mangakaNi kwenda kuangalia fursa tu zinazopatikana huko
Kuna nini huko Mangaka?Kama ni Fulsa za huko basi kalale mbele ya masasi kule mangaka
Nategemea kwenda Masasi, Mtwara mwezi September 2021 kwa wiki moja. Hii itakuwa mara ya kwanza kufika maeneo hayo ya kusini.
Nitashukuru kwa mawazo ya members humu ni wapi maeneo mazuri ya kufikia (guest houses) ambayo ni salama na iko maeneo ya mjini, na yenye gharama za wastani.
Natanguliza shukrani kwa recommendations.
Nilishataja bei, maximum 70,000 per night. Na nimepata suggestions mbalimbali. Ila hiyo mambo ya kunguni, umenitisha kidogo. Nisije wabeba kurudi nao. Hopefully Rock city hotel hawapo.Gharama za wastani taja na bei kabsaa,ila Masasi na mtwara hawako pouwaaa sana kwenye ishu za Malazi/Gest....10000 ni gest za hivyooo na Kwetu sisi wataftaji ndo gharama za wastani,kunguni sasa dah!!!
Kipo chumba Cha kupanga 20,000 kwa mwezi
Asisahau kwa Adamu viaziAkitaka hizo huduma zipo sana tu..BR hotel,Iwawa night club,mahenge shimoni n.k
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila ya kuwasahau na wayaoWamakuwa mna mbwembwe sanaa😂😂
Kukusaidia tu mie nilishawahi kwenda masasi,Usafiri mzuri ni basi ni Maning nice ambalo nina ushahidi nalo nishalipandaga ila zipo kampuni nyingine nazo ni nzuri pia,Na safari ya uko masasi inachukua wastani wa masaa 9 mpaka 10 kwa basi zuri na basi ambalo sio zuri huchukua masaa 11 mpaka kufika pal,ni mji mzuri na gharama zake pia za kulala ni nafuu mie niliendaga kule nikamtafuta bodaboda akanipeleka kwenye lodge ya elfu 10 kiukweli nilienjoi sana mpaka kuondoka,lodge inageti,mlangoni kuna mlinzi na pia kuna parking kubwa na nzuri tu,jitahidi kuanza safari na yale mabasi ya asubuhi sana ili uweze kufika mapema,standi yao mie nilipandaga pale Mbagala ndani ya kituo cha mabasi,kwasasaivi nauli yake itakuwa kati ya 25 hadi 30.mie nilipandaga kwa 20 na kurudi ilikuwa 22 so kwa sasaivi diesel imepanda nahisi itakuwa imeongezeka pia,kila la kheri katika safari yakoNarudi tena. Nahitaji ushauri wa usafiri kutoka Dar mpaka Masasi kwa anayejua. Nimeambiwa njia mojawapo ni kwenda na ndege mpaka Mtwara mjini na kisha kupanda basi kwenda Masasi (ambayo inachukua kama masaa 4 kutoka Mtwara mjini mpaka Masasi). ila pia nimeambiwa kuna mabasi yanayosafiri kutoka Dar direct mpaka Masasi. Ningependa usafiri wa basi ili kuokoa gharama kubwa za ndege, na pia kujua maeneo mbalimbali basi linapopita. Kwa anayefahamu usafiri wa mabasi, ni basi lipi zuri (luxury bus) linatoka Dar mpaka Masasi? Na wapi stendi yao?, na gharama zake zikoje? Na inachukua wastani wa saa ngapi kutoka Dar mpaka Masasi? Natanguliza shukrani tena kwa msaada. Asante
Nashukuru sana kwa ushauri wako na maelezo muhimu ya kufanikisha lengo langu la kwenda Masasi. Mungu akubariki. Nitawacheki hao Maning Nice.Kukusaidia tu mie nilishawahi kwenda masasi,Usafiri mzuri ni basi ni Maning nice ambalo nina ushahidi nalo nishalipandaga ila zipo kampuni nyingine nazo ni nzuri pia,Na safari ya uko masasi inachukua wastani wa masaa 9 mpaka 10 kwa basi zuri na basi ambalo sio zuri huchukua masaa 11 mpaka kufika pal,ni mji mzuri na gharama zake pia za kulala ni nafuu mie niliendaga kule nikamtafuta bodaboda akanipeleka kwenye lodge ya elfu 10 kiukweli nilienjoi sana mpaka kuondoka,lodge inageti,mlangoni kuna mlinzi na pia kuna parking kubwa na nzuri tu,jitahidi kuanza safari na yale mabasi ya asubuhi sana ili uweze kufika mapema,standi yao mie nilipandaga pale Mbagala ndani ya kituo cha mabasi,kwasasaivi nauli yake itakuwa kati ya 25 hadi 30.mie nilipandaga kwa 20 na kurudi ilikuwa 22 so kwa sasaivi diesel imepanda nahisi itakuwa imeongezeka pia,kila la kheri katika safari yako
Kibo..br..iwawa na mahenge shimoni.Kwa kifupi, sehemu gani kuna wadada watoa huduma?
Kuna maning nice,baraka hii ina VIP,kuna warda,tashirf na nyingine nyingi..nauli 23 hadi 32 kwa vip..pia ni masaa 9 toka dsm to masasi.. barabara ni lami..kituo cha kula ni nagurukuru hapo utakutana na kila aina ya samaki wa bahari..usafiri wa mabasi upo kuanzia sa12 asbu mpka sa8 mchana...karibu kusini.Narudi tena. Nahitaji ushauri wa usafiri kutoka Dar mpaka Masasi kwa anayejua. Nimeambiwa njia mojawapo ni kwenda na ndege mpaka Mtwara mjini na kisha kupanda basi kwenda Masasi (ambayo inachukua kama masaa 4 kutoka Mtwara mjini mpaka Masasi). ila pia nimeambiwa kuna mabasi yanayosafiri kutoka Dar direct mpaka Masasi. Ningependa usafiri wa basi ili kuokoa gharama kubwa za ndege, na pia kujua maeneo mbalimbali basi linapopita. Kwa anayefahamu usafiri wa mabasi, ni basi lipi zuri (luxury bus) linatoka Dar mpaka Masasi? Na wapi stendi yao?, na gharama zake zikoje? Na inachukua wastani wa saa ngapi kutoka Dar mpaka Masasi? Natanguliza shukrani tena kwa msaada. Asante
Nilijisahau kuleta feedback kwa kweli. Asante kwa kunikumbusha. Yes, niliweza kwenda Masasi for the first time. Nilifikia kwa ndugu ambao walinishauri nikae kwao. Ila nilitembelea baadhi ya lodges kuona situation. Zile za TZS 10,000 mpaka 15,000 kwa kweli hazikuwa poa, ila siyo mbaya kama huwezi ongeza pesa kidogo kwenda zenye gharama zaidi. Nilipanda Baraka VIP kwenda na kurudi. Ilikuwa Shs 35,000 nadhani each way. Nilipandia Temeke. Sijaona u VIP wa hilo basi, zaidi ya ukubwa wa viti kwenye VIP cabin ambayo iko mbele. Mlango wa kutenganisha VIP na Economy ulikuwa unapiga kelele non-stop, ukichanganya na muziki wa Injili kwenye video ambayo quality ya nyimbo haikuwa nzuri. Ilikuwa makelele zaidi badala ya kiburudisho.Mbona hujaleta feedback? BobUpanga