Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,008
- 2,384
Salaam wakuu.
Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mafuta ya kupikia kwa jumla sasa nilikuwa nahitaji kufahamu bei zake zipoje na jinsi ya kupata kuanzia lita 1 ,3,5,10 na 20 iwe KORIE, AZANIA AU SAFI nipo MTWARA.
NATANGULIZA SHUKRANI.
Nahitaji kufanya biashara ya kuuza mafuta ya kupikia kwa jumla sasa nilikuwa nahitaji kufahamu bei zake zipoje na jinsi ya kupata kuanzia lita 1 ,3,5,10 na 20 iwe KORIE, AZANIA AU SAFI nipo MTWARA.
NATANGULIZA SHUKRANI.