Msaada: Mwanangu amekuwa addicted na catoon (katuni)


Excel cartoon ni nguvu za shetani,violence,robotics,mavazi think

www.demonbuster.com
 
Last edited by a moderator:

unamwaribu Mwanao

www.demonbuster.com
 

"too much television watching got me chasing dreams"
coolio: ganster's paradise
 

be carefull with your words

www.demonbuster.com
 
"too much television watching got me chasing dreams"
coolio: ganster's paradise

yeah better your listen to hiphop not cartoons

coolio ...as i walk to the valley of the shadow of death i take a look of my life and realise is not much left..I love this nigger is gone men




www.demonbuster.com
read this WEB has we karucee

kuchangumu Eiyer Kiranga Karucee the invicible
 
Last edited by a moderator:
Samahani dada FaizaFoxy mimi nina binti wa miaka 3na miezi 4..Yani yeye muda wote ni kukaa kwenye kioo,kujifunga khanga na vitenge vya mama yake cku nzima...lotion yenyewe,poda na mafuta ya nywele nk ukiacha kwenye dressing table inakua shida sana.Nimejaribu sana kumbadilisha labda kukawekea cartoons na muvies za kitoto lakini wapi,ilifika wakati nikampeleka kwa bibi yake wiki mbili labda atabadilika lakini wapi..kwa kesi hii nini solution yake??
 
Last edited by a moderator:

mpeleke sehemu za zoo,ibada,mavazi avae ya heshima
acha cartoon,midoli,t.V


www.demonbuster.com
 
Last edited by a moderator:

Hahahha...ndugu yangu nakuambia kuna katuni mpaka kwa lugha za kiarabu...kama umepata bahati ya kusafiri nchi yoyote ya kiarabu tembelea malls zao section ya vitu vya watoto uone mambo, mfano hata hapo Dubai au doha.......msidanganyike....hao mashekhe sio wote wana nia nzuri, wengine wametumwa kutuvuruga.....sawa na wachungaji tu sio wote wana nia nzuri..........wengine wanaongelea kupinga mfumo kristu wakati wanawapeleka watoto wao huko uingereza na marekani wanasoma private colleges za wazungu na wanakula bata balaa......mnapofundishwa jaribuni kuchuja mambo. Nikiangalia hata misaada mingi ya waarabu nchi za kiafrica ni misikiti tu.....kwa sababu hawataki tuamke kwa mfano hapo Sudan, tafuta historia ya vita hapo. Tembelea nchi nzima huendi kilometa tatu bila msikiti.....lakini haohao wakiombwa misaada ya kujenga mashule au vyuo wanakimbia.....jaribuni kuiga mifano ya misaada ya wazungu ...wakijenga kanisa pembeni lazima wajenge shule. Naombeni msinitafsiri vibaya.
 
Hao wanaesma kwamba Cartoons nchi za Wazungu hazitumiki na kwamba zimeletwa kuharibu maadili.
Huu ni uzushi ilimradi mtu ajulikane na yeye kasema tu.

Demonstrations nyingi mpaka chuo kikuu zinatumia Cartoons.
Na Japan ndio wanaongoza kwa kuwa na Cartoons nyingi na ndio Maana watoto wao tangu wadogo ni vichwa.
Na baada ya kuwa advanced ndio wakaona sasa walete remoted Cartoons ambazo ndio Video Games and Video Learning Tools.
Na Bada ya hapo sasa ndio wameingia Ulimwengu wa Affordable Robots.

Asikudanganyeni mtu Cartoons kwa mtoto ni muhim sana na zinafunza mtoto.Sasa wewe utakuta mtu anamzuia mtoto asione Cartoons au kumabda wakati ikifka muda wa maigizo ya kiswahili anamuachia aone jinsi Wanvyopigana denda.Hapo ndio watu wanaona sawa.
 

Hivi kaka a for apple, b for ball hii inaweza kuwa sio homework!!!!??????
 

sikubaliani na wewe asilimia 1000000000.....% cartoons zinambuild mtoto kuwa violence,anaona silaha vitu vya kawaida,katuni sio nature ni virtual imagination ,cartoon wana fanya impossibles www.demonbuster.com
 

Swadakta Zanzibar spices kwa maelezo hayo. Watoto wanaoangalia katuni wana upeo mkubwa. Mimi watoto wangu wanaangalia zaidi channel ya Cee Beebies. Ni nzuri sana kwa elimu ya watoto.

Si bora katuni hizo kuliko kuruhusu watoto kushiriki ngoma ya vigodoro na baikoko? Watajifunza kukata viuno tu.
 

cartoons are not good they dont teach they destroy ,kids mind,thinking ability,behaviours,violence,guns,milipuko,impossibles,paka anashika uma,wanyama wanaongea,uhalisia unapotoshwa eg samurai jack,double dragon,mavazi ya cartoons,mapenzi

www.demonbuster.com
 

Thats a real lady, hayo ndiyo anayaona nyumbani. Akikuwa atabadilika, bado ni mdogo sana, so just enjoy it while it lasts.
 
mkuu mtafutie vitu vingine vya kuchezea mf.baskeli,game za computer,vinanda,gitaa,marimba nk ajifunze kimoja kimoja baada ya muda atasahau cartoon.ni hayo tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…