smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,408
- 2,844
Hii post nilishaiona kwenye ule uzi wa puchu ss huku tena duh!!!! Mkuuu..[emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]Ngono Ngono Ngono.
Njaa Njaa Njaa.
Elimu Elimu Elimu.
Hii post nilishaiona kwenye ule uzi wa puchu ss huku tena duh!!!! Mkuuu..[emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46][emoji46]Ngono Ngono Ngono.
Njaa Njaa Njaa.
Elimu Elimu Elimu.
Wewe na magu akili zenu kama vike zinafanana!!! Upuuzi gani ulioandika.Fikiri kwanza kabla ya kuandika.au ndio wale wanaofikiri na masaburi?Kweli magufuli ana haki ya kusema kuwa hakuna njaa,maana kungekua na njaa watu wasingepata nguvu za kuandika ujinga kama huu.
Kweli kabisa njaa hatuijui uliza wasomaliKweli magufuli ana haki ya kusema kuwa hakuna njaa,maana kungekua na njaa watu wasingepata nguvu za kuandika ujinga kama huu.
napiga sana tu mkuupiga mswaki
anapenda kusex lakin sio kudendekaKwani yeye amekwambia anapenda nn
ah wapi mbona wengine ilikuwa fresh tuUnanuka domo wewe.
kwa kosa gan mkuu...?Play boy Mwema unatafutwa na Said IGP Mwema.
natumia shisha tuLabda Utakuwa Unakula Ugoro
nami nimegundua hilo jamboHakupendi.
yeye ndio mnywaji wa pombe mi situmii kilevi chochoteHuwa unakunywa pombe coz? kama mwenzio hanywi lakini wewe unapiga masanga na mafegi sahau kitu d.nda
mapenzi yapo tu hata kutokee ukame wa namna ganNgoja njaa ipate kasi,hizi hazitakuepo!
inabid anitimizie haja zangu kama mpenzi wakeKama hataki muache unamlazimishia nini sasa?
labda yeye ndio ananuka mdomo sio mimiBasi unanukaga mdomo ndo mana piga mswaki vizuri
nina kamdomo kama ka chibu dangotemkuu unaweza kuwa una Domo kubwa kama la chai jaba , akaogopa