Msaada: Mnafanyaje mambo yenu yaende poa?

lady Jay

Pole sana dear,
Ukweli ni kwamba unayopitia ww ni wengi wanapitia,wamepitia na wataendelea kupitia.

Ni moja ya hatua muhimu maishani, kamwe usicomplain endelea kusali,endelea kuwa na imani na Mungu, Endelea kupiga kazi, Fanya kama unachopitia sasa kuwa ni maisha yako halisi yazoee. Ni kusali na kufanya kazi, haijalishi unapata au vipi?

Kamwe usiwe na hisia hasi kuhusu ww, Mungu ana makusudi yake. Wengi wamepitia hali yako tunachotofautiana ni ustahimilivu tu.

Kwa uzoefu wangu kuna neema kubwa inakuja mbele yako baada ya hii hali unayopitia. Zidisha kusali, Fanya kazi, Piga mazoezi, Pumzika, Relax kuna something big inakuja wala usiweke matarajio yeyote ww yazoee maisha ya sasa yafanye kuwa maisha yako ya kila siku.
Nashukuru sana.
 
Kutokata tamaa na kufanya kazi kwa bidii ni nguzo muhimu katika kusaka mafanikio lakn kama hizo nguzo hazitojengwa katika mazingira sahihi ni sawa na bure..

Ni sawa na kutaka kufanya kilimo halafu ukalima kwa bidii eneo kubwa tena bila kukata tamaa lkn usizingatie mambo ya msingi kama kutafiti udongo, usitafiti hali ya hewa, usitumie mbegu bora n.k. halafu unakaa unategemea mavuno makubwa..

Kufupisha stori, kwa ujumla nakushauri jaribu kujiuliza maswali yafuatayo, unataka nini? Unafanya nini? Vitu unavyofanya vinahitajika? Uhitaji wake ni mkubwa kiasi gani? Ukubwa wa uhitaji utakupa unachotaka?

Ukimaliza kujibu hayo maswali, fanya tathmini kama majibu yanakushawishi kujibidisha na kupambania bila kukata tamaa katika jambo husika.

Sema ningependa kujua nini hasa unafanya ili tutibu relevant problem.
 
Kutokata tamaa na kufanya kazi kwa bidii ni nguzo muhimu katika kusaka mafanikio lakn kama hizo nguzo hazitojengwa katika mazingira sahihi ni sawa na bure..

Ni sawa na kutaka kufanya kilimo halafu ukalima kwa bidii eneo kubwa tena bila kukata tamaa lkn usizingatie mambo ya msingi kama kutafiti udongo, usitafiti hali ya hewa, usitumie mbegu bora n.k. halafu unakaa unategemea mavuno makubwa..

Kufupisha stori, kwa ujumla nakushauri jaribu kujiuliza maswali yafuatayo, unataka nini? Unafanya nini? Vitu unavyofanya vinahitajika? Uhitaji wake ni mkubwa kiasi gani? Ukubwa wa uhitaji utakupa unachotaka?

Ukimaliza kujibu hayo maswali, fanya tathmini kama majibu yanakushawishi kujibidisha na kupambania bila kukata tamaa katika jambo husika.

Sema ningependa kujua nini hasa unafanya ili tutibu relevant problem.
Nafanya mambo tofauti mkuu
 
Sure mkuu kuna mtu hapo juu kamuelezea mtoa mada kuwa abadili mifumo ya mishe zake.
Ila hili la laana naamini kama nikikosea mm nalipwa mimi tu. Wengine hawaguswi.
Laana ni roho ziishizo ndugu! Labda elewa kitu hapa kuwa, ktk ulimwengu huu Kuna viumbe vinaishi na tunaweza kuviona kwa macho yetu ya kawaida lakini pia Kuna viumbe vinaishi na hatuwezi kuviona kwa macho ya kawaida!
Viumbe usivyoweza kuviona kwa macho ni pamoja na mapepo au majini! Pepo au jini nalo ni kiumbe chenye Kila haki ya kawaida kama jinsi ulivyo wewe, anapenda na anachukia vile vile, anahisia kama jinsi ulivyo!
Sasa kinachofanyika ni kwamba, akitaka jambo anao uwezo wa kuingia kwa kiumbe mfano kwa binadamu, ndege, wanyama au wadudu!
Imagine ameingia kwa binadamu kwa tamaa ya kuiba na kula vitu vya watu, mtu atakayeingiwa na huyo Pepo atabadilika matendo yake kwa kuwa atakuwa anaongozwa na roho wa pepo yule!
Laana nayo ni roho, kama mtu alinenewa laana na ikafanyika kwa mtu huyo, endapo akifa, roho wa laana ile haifi, inaingia na kufanya makazi kwa uzao wa huyo aliyekufa na uzao huo utaendelea kuenenda sawasawa na matakwa ya roho huyo!
Haya mambo ni real ndugu, watu wanpitia mapito magumu ama mazuri kwa kutegemea roho wanazoambatana nazo kwa generation yao!
 
Keep on praying, wakati wako waja...

Hujasema mambo gani Ila? Stress kila kona how?

Mfanowe me siku hizi Nina vihasira vya hapa na pale, kuna muda naona Kama sijielewi 😁 Ila najua 7bu. Kichupa kimejaa sana... Hebu check na huko kwanza u boost akili.
Kuhusu kichupa kama uko karibu na maeneo ya Mkumbara naomba ruhusa ya kuja pm
 
Ni nuio kwa mtu aliyekutendea mabaya ili naye apate dhara.
Nb Kama sijakutendea baya iweje nipate dhara. Mf mimi wa kizazi cha nne huku ambae sikuwepo na wala sikukutenda lolote.
A man is a result of what he thinketh. Naamini nilizaliwa kwa kucopy DNA sio madhambi ya watu. Kama mshahara wa dhambi ni mauti basi huyo babu yangu alipotea na hiyo laana siku ya kufa kwake. Afu eti me nizaliwe nayo.
Mizimu na tunayoibeba, mfano ukitembea na mwanamke Malaya , unaweza pata mizimu ya umalaya
 
Keep on praying, wakati wako waja...

Hujasema mambo gani Ila? Stress kila kona how?

Mfanowe me siku hizi Nina vihasira vya hapa na pale, kuna muda naona Kama sijielewi 😁 Ila najua 7bu. Kichupa kimejaa sana... Hebu check na huko kwanza u boost akili.
Duh!!
 
Habari zenu,

Ndugu zangu, mnaombaje kwa Mungu mpaka mnapata baraka tele. Mimi binafsi kila ninachogusa mambo hayaendi, stress kila corner mpaka kuna wakati unatamani ujiwaishe tu mbinguni.

I am working really hard and sitamani kukataa tamaa zaidi.Naombeni ushauri huwa mnafanyaje fanyaje mambo yenu yaende poa.

Asante.
Una boyfriend,mume?!!
 
Nimejiongelea binafsi na siyo ukoo au familia. Ni just kipindi hiki hali ni mbaya lakini siyo siku zote na sitaki kujinenea hvyo kwamba hali itakua hivi forever.

Pia, ukoo wetu watu wengi wanajiweza vizuri tu but again maisha yao hayanihusu naangalia maisha yangu.

My problem is I wanted to know how watu wanavyoboost uchumi wao kivyovyote vile. Kama kuhustle, nimehustle sana.
Refer paragraph ya Kwanza. Sasa kwanini unafikiria kujitoa uhai huku unajua sio siku zote utakuwa na Hali mbaya?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom