Msaada: Mnafanyaje mambo yenu yaende poa?

Wala siyo kwamba wengine wanapendelewa ila kwa neema tu
1. Jiepushe kuwa na marafiki wa kupiga soga. Kuwa na marafiki wa kwenye kutafuta kazi, kuangalia fursa. Mnapigiana simu, kuna kazi fulani twende tukafanye
2. Penda kuchangamana na watu ila wenye malengo hasa angalia waliokuzidi umri au umri sawa ila malengo ya kutoboa
3. Usipende kubagua kazi. Mfano mm huwa sichagui kazi ili mradi iwe halali. Anza hata kukaanga chapati uza
Kadri unavyozidi kupambana ndiyo Mungu anakufungulia baraka
4. Siri ambayo ni ngumu na rahisi kutoboa. Kuishi mbali na ndugu, huko hakuna msaada wowote zaidi ya kujipigania. Lazima upambane utoboe
5. Kupunguza matumizi yasiyo ya msingi
6. Nyumba hizi tunazokaa huwa zina neema au mikosi. Unaweza kuwa kwenye lkn kila unachofanya hakifanikiwi ila nyumba nyingine ukafanikiwa
7. Usichoke kumuomba Mungu siku zote.
Ushauri bora kabisa
 
Mpe Yesu maisha yako. Mengine atayafanya akiwa ndani mwako. Yeye ni mwanasaikologia namba moja duniani.
 
Nimepitia koment baadhi kila mtu ameshauri kwa namna yake lakini kuna mambo mengine mengi watu wanayafanya kama desturi ya maisha ya binaadam ila kwa hayo ndio tatizo linaanzia hapo, Je ni watu wa aina gani unashiriki nao ngono,? Jua unaposhiriki ngono na mtu mwingine basi kunafanyika mageuzi katika nafsi, Hivyo mizigo na laana zote ambazo wewe unazo na huyo unaeshiriki nae zinaingiliana wewe unachukua mizigo na maumivu yake, nae anachukua mizigo na maumivu yako yote. Kinachotokea hapo nguvu za ndani mwako zinafurugwa na huo mwingiliano, unapofanya biashara hazitaenda sababu ya zile roho ulizobeba wakati wa mlipojamiana, Chunguza watu unashiriki nao ngono ndio uje kwenye uchumi wako.
 
watu wanasema eti keep praying? uombeee kwan wew wakwanza kuomba?? uyo Mungu akusikilize wew kulko wagonjwa mahospitalin na mayatima?, easy& clear unataka mafanikio njia ni hizi
..fanya kazi yoyote bila aibu
then
..kile ulichopata chukua sehem yake itakayoumiza moyo wako na ukaitoe sadaka, na kutoa sadaka si uko makanisani wala msikitini, bali sehemu effectively ambayo ukipeleka kwel unakuwa umegusa uhitaji,
sehem hiyo inaweza kuwa kilingeni, nyumbani kwenu kwenye mizimu ya ukoo wako, kwa mayatima, wajane wanaohitaji si kila mjane ni muitaj, na si kila yatima ni muitaj wengine unamsaidia lkn anaenda kuiba ama anakukaba hata wew, wagonjwa usiowajua, wanajera uko kifungoni, masikini na walala hoi ambao wanahitaj msaada, ujue kuwa si kila masikini ni muhitaj, wengne unawasaidia lkn wanakusengenya baadae ama kukuchawia, la mwisho ni kurudisha mkono wa asante wa wale waliokulea utotoni kama ni mzaz,mlezi amayeyote yule,

kwa kufanya haya unakuwa ume apply law ya give and receive after paying what hurts, and wht you're responsible to do then you rewarded great than u did

..la mwisho ni jifunze kufanya money saving na kuboresha kile unachokifanya kila baada ya muda,wekeza muda wako kujifunza uwekezaji wa kidogo unachopata, mafundisho yako mengi uko mitandaon, wapo walimu wengi uko mitandaon kama akina joel nanauka unaweza wafatilia hawa ukapata masomo muhimu sana ambayo hutowai yapata shule yoyote ile hapa dunian na ahera. mimi shahid siandiki kukufuraisha, naandika nachokijua.

note:- usipofanikiwa kwa hizi njia mzee kamtafte mchawi aliekuroga, na hutompata maana mchawi utakuwa ni wew mwenyew kwa kuvunja moja ya hizo njia hapo, hasa iyo ya ''saving"


Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Mpe Yesu maisha yako. Mengine atayafanya akiwa ndani mwako. Yeye ni mwanasaikologia namba moja duniani.
acha uongo wew watu waliompa yesu maisha hawa ndyo namba moja kwa kuwa mafukala mitaani kwa kutegemea miujiza, hawa ndyo hukosa akili za utaftaji,,fnya kaz achana na kuhangaika kumpa maisha ambaye humjui

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
 
Usichoke kumuomba Mungu mpendwa. Kujaribiwa kwa imani zenu kunaleta utukufu kwa MUNGU. Afu pia nawiwa kukuambia kaa chini tafakari sadaka nzuri ya kutoa kwa MUNGU. Tafuta pale unapopata amani iwe ni unaposali au ulipo au wahitaji peleka sadaka.

Usianze kujiuliza sijui utaishije. Refer kwa mjane wa sarepta in case wewe ni mkristo. Narudia ongeza kasi ya utoaji. Sometimes katika kutoa ndo kuna password ya mafanikio. Kama huna kabisa basi mwekee MUNGU nadhiri.

Nakuombea imani yako isishuke katika kumuamini MUNGU. Lakini pia incase hujatengeneza maisha yako na Bwana fanya hivyo. 2nyak7:14. Mtafute MUNGU, ishi katika toba katika nyakati hizi za neema. Kama ni mwenendo unatakiwa ubadilishe fanya hivyo.

Maana naweza kukuambia sadaka, kumbe kuna mienendo yako ni mibaya..i don know what is up but i feel like we should both know these few stuffs.
 
watu wanasema eti keep praying? uombeee kwan wew wakwanza kuomba?? uyo Mungu akusikilize wew kulko wagonjwa mahospitalin na mayatima?, easy& clear unataka mafanikio njia ni hizi
..fanya kazi yoyote bila aibu
then
..kile ulichopata chukua sehem yake itakayoumiza moyo wako na ukaitoe sadaka, na kutoa sadaka si uko makanisani wala msikitini, bali sehemu effectively ambayo ukipeleka kwel unakuwa umegusa uhitaji,
sehem hiyo inaweza kuwa kilingeni, nyumbani kwenu kwenye mizimu ya ukoo wako, kwa mayatima, wajane wanaohitaji si kila mjane ni muitaj, na si kila yatima ni muitaj wengine unamsaidia lkn anaenda kuiba ama anakukaba hata wew, wagonjwa usiowajua, wanajera uko kifungoni, masikini na walala hoi ambao wanahitaj msaada, ujue kuwa si kila masikini ni muhitaj, wengne unawasaidia lkn wanakusengenya baadae ama kukuchawia, la mwisho ni kurudisha mkono wa asante wa wale waliokulea utotoni kama ni mzaz,mlezi amayeyote yule,

kwa kufanya haya unakuwa ume apply law ya give and receive after paying what hurts, and wht you're responsible to do then you rewarded great than u did

..la mwisho ni jifunze kufanya money saving na kuboresha kile unachokifanya kila baada ya muda,wekeza muda wako kujifunza uwekezaji wa kidogo unachopata, mafundisho yako mengi uko mitandaon, wapo walimu wengi uko mitandaon kama akina joel nanauka unaweza wafatilia hawa ukapata masomo muhimu sana ambayo hutowai yapata shule yoyote ile hapa dunian na ahera. mimi shahid siandiki kukufuraisha, naandika nachokijua.

note:- usipofanikiwa kwa hizi njia mzee kamtafte mchawi aliekuroga, na hutompata maana mchawi utakuwa ni wew mwenyew kwa kuvunja moja ya hizo njia hapo, hasa iyo ya ''saving"


Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
Nashukuru sana mkuu
 
Nimepitia koment baadhi kila mtu ameshauri kwa namna yake lakini kuna mambo mengine mengi watu wanayafanya kama desturi ya maisha ya binaadam ila kwa hayo ndio tatizo linaanzia hapo, Je ni watu wa aina gani unashiriki nao ngono,? Jua unaposhiriki ngono na mtu mwingine basi kunafanyika mageuzi katika nafsi, Hivyo mizigo na laana zote ambazo wewe unazo na huyo unaeshiriki nae zinaingiliana wewe unachukua mizigo na maumivu yake, nae anachukua mizigo na maumivu yako yote. Kinachotokea hapo nguvu za ndani mwako zinafurugwa na huo mwingiliano, unapofanya biashara hazitaenda sababu ya zile roho ulizobeba wakati wa mlipojamiana, Chunguza watu unashiriki nao ngono ndio uje kwenye uchumi wako.
Ndugu upo ndani mno. Anahitaji afunguliwe kwanza. Atafundishwa Na Roho Mtakatifu akkshamkubali Yesu. Hapo hatakuelewa
 
acha uongo wew watu waliompa yesu maisha hawa ndyo namba moja kwa kuwa mafukala mitaani kwa kutegemea miujiza, hawa ndyo hukosa akili za utaftaji,,fnya kaz achana na kuhangaika kumpa maisha ambaye humjui

Sent from my SM-G935V using JamiiForums mobile app
Tatizo lako Mungu alikusaidie. Sijamwambia usifanye kazi. Pia sijamwambia nenda dini Fulani. Mimemwambia muamini Yesu. Akikutana nae atamuongoza yeye.
 
Kwanza pole sana, pole sana kwa kuwa wewe unadhani wewe ndiye unayepitia changamoto ili hali binafsi nadhani si kweli!
Kuna watu wanapitia nyakati ngumu wala hawawezi kupata bando wakapost ulichofanikisha kupost hapa! Wewe unasmart na unaweza kuwa na bando, mshukuru Mungu!
Naomba nikwambie jambo, kuna usemi kuwa "makipo ni hapahapa duniani" au "apandacho mtu ndicho avunacho"!
Sasa, kuna watu wanapitia nyakati ngumu kwa kulipa matendo yao wenyewe ya nyuma, au ya wazazi ama wazee wake ambao walitenda yasiyofaa na wenyewe binafsi hawakukamilisha kulipa matendo hayo! Yaani kama utasadiki usemi wa malipo ni hapa hapa duniani, maana yake matendo yetu yote hulipwa hapahapa na matendo ya wema humlipa mtu wema vilevile, na ukitenda wema na hulipwi sawa sawa na wema wako, tambua upo katika orodha ya kulipa nakosa yaliyofanywa kwa generation yako hasa wazee wako hapo zamani na siku deni litakapoisha, taa ya kijani unakuwa upande wako!
Wengi tunapitia nyakati ngumu kwa matendo yetu ama ya wazee wetu magumu ya nyakati za nyuma! Tafakari na ubaini ukweli ktk hili nazungumza maana kanuni ni ile ile ukipanda uovu utavuna uovu pia, kama si wewe basi uzao wako! Na huo ndo msemo wa akipandacho mtu ndicho avunacho!
Endelea kutenda wema ipo siku utanufaika na wema huo lakini ikitokea hujanufaika wewe, basi uzao wako utanufaika na wema wako wa leo!
Tena niseme, hata uchukulie mambo kimasihara nisemayo haiondoi maana ya misemo hiyo niliyoitaja! Jiepushe na maisha ya kuigiza, ishi maisha yako halisi wala usidhani kufanya mambo kwa kujifika machoni pa watu kutakuepusha na matokeo ya matendo yako!
Samahani usinielewe vibaya, natamani uelewe binafsi kwa nini unapitia nyakati ngumu na uanze safari ya kusafisha mapito yako na ya uzao wako!
Pia yapo matendo yaliyokosewa na wazee wako ambayo deni lake kulipika ni ngumu sana, tunaita laana! Kuichomoa laana ni mtihani ila zipo njia za kuifuta na usipoifuta leo, itawaandama pia uzao wako! Ipo mimea ukielekezwa namna ya kuitumia huondoa na kufuta laana! Lakini kwanza tafakari, unadhani kwa nini unapitia nyakati ngumu!
Niyo mengi ya kukueleza lakini naomba nitoe rai kuwa, ukiguswa na haya nisemayo, uliza swali lolote nitakuelekeza cha kufanya ili twende pamoja!
Umeongea mambo mazito sana! Haya mambo nimeyapitia na bado nayapitia ila yamepungua kwa kiasi Fulani naweza sema Alhamdullah.

Ila ni nyakati ngumu sana hadi unawaza ujitangulize mbele za haki.

Kama huna imani ya kweli kweli basi kuwa na imani ya Asili kweli kweli. Usiishi kizembe.

Wazungu wametupumbaza sana aisee!
 
Laana ni roho ziishizo ndugu! Labda elewa kitu hapa kuwa, ktk ulimwengu huu Kuna viumbe vinaishi na tunaweza kuviona kwa macho yetu ya kawaida lakini pia Kuna viumbe vinaishi na hatuwezi kuviona kwa macho ya kawaida!
Viumbe usivyoweza kuviona kwa macho ni pamoja na mapepo au majini! Pepo au jini nalo ni kiumbe chenye Kila haki ya kawaida kama jinsi ulivyo wewe, anapenda na anachukia vile vile, anahisia kama jinsi ulivyo!
Sasa kinachofanyika ni kwamba, akitaka jambo anao uwezo wa kuingia kwa kiumbe mfano kwa binadamu, ndege, wanyama au wadudu!
Imagine ameingia kwa binadamu kwa tamaa ya kuiba na kula vitu vya watu, mtu atakayeingiwa na huyo Pepo atabadilika matendo yake kwa kuwa atakuwa anaongozwa na roho wa pepo yule!
Laana nayo ni roho, kama mtu alinenewa laana na ikafanyika kwa mtu huyo, endapo akifa, roho wa laana ile haifi, inaingia na kufanya makazi kwa uzao wa huyo aliyekufa na uzao huo utaendelea kuenenda sawasawa na matakwa ya roho huyo!
Haya mambo ni real ndugu, watu wanpitia mapito magumu ama mazuri kwa kutegemea roho wanazoambatana nazo kwa generation yao!
Ni wachache tunaokuelewa! Wengi wanajifanya wafia dini na wakati huo hawana imani ya kweli.
 
Mpe Yesu maisha yako. Mengine atayafanya akiwa ndani mwako. Yeye ni mwanasaikologia namba moja duniani.
Mpuuzi wewe,huyo yesu alishindwa kuizuia mikono ya waisrael wasimuue, hatoweza kumsaidia mtu kwalolote huyo marehemu yesu
 
Nimepitia koment baadhi kila mtu ameshauri kwa namna yake lakini kuna mambo mengine mengi watu wanayafanya kama desturi ya maisha ya binaadam ila kwa hayo ndio tatizo linaanzia hapo, Je ni watu wa aina gani unashiriki nao ngono,? Jua unaposhiriki ngono na mtu mwingine basi kunafanyika mageuzi katika nafsi, Hivyo mizigo na laana zote ambazo wewe unazo na huyo unaeshiriki nae zinaingiliana wewe unachukua mizigo na maumivu yake, nae anachukua mizigo na maumivu yako yote. Kinachotokea hapo nguvu za ndani mwako zinafurugwa na huo mwingiliano, unapofanya biashara hazitaenda sababu ya zile roho ulizobeba wakati wa mlipojamiana, Chunguza watu unashiriki nao ngono ndio uje kwenye uchumi wako.
Na je ukijamiana na mtu mwenye baraka na neema utazipata?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom