delusions
JF-Expert Member
- Jan 11, 2013
- 5,003
- 1,278
Nimekaa naye kwa muda wa miaka 20 akiishi ktk nyumba ndogo iliyopo pembeni anakaa yeye na ndugu zake kwa mshngao leo asbh kaniibukia anadai kwa muda wote huo aliokaa nami anahitaji alipwe kiinua mgongo na tuanze mkataba mpya nilipomuuliza kiasi gani nikapigwa na bumbuazi? Msaada wa kisheria ni halali kweli hili??