Me niko salama saliminiSalama Kaka ake mzima?
Me niko salama saliminiSalama Kaka ake mzima?
Sawa Kaka angu uwe na Usiku mwema.Me niko salama salimini
Sijaelewa hivi kinatiwa kizima au chakatwa kama kachumari?ndio maana vitunguu vimepanda bei
Na kapilipili hoho kidogomwongezee na nyanya
mkuu sasa mimi nitajibu nini?? muulize mtoa madaSijaelewa hivi kinatiwa kizima au chakatwa kama kachumari?
HahahahhaaaaaaUsiondoke Mbalizi. Kwa nini unataka kuondoka?
Aise ulishawahi kutafuna vitunguu swaumu kilivyo kikali hadi ulimi unahisi utakatika. Sasa huko inakuwajeNahisi tiba ya fangasi
Uko kuwaka kwake moto sio kwa kawaida nahisi..kuna wanawake wana mioyo migumu aiseeAise ulishawahi kutafuna vitunguu swaumu kilivyo kikali hadi ulimi unahisi utakatika. Sasa huko inakuwaje
Endelea kumsuma mleta mada. Mkewe kibokoUko kuwaka kwake moto sio kwa kawaida nahisi..kuna wanawake wana mioyo migumu aisee