Crumpy Crumper
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,350
- 3,312
Hizi papa za Dada zetu zinapitia maswahibu mengi sana
Kwanini usimuulize yeye mwenyewe kwanza??
Hivi wewe mkuu umepitia jandoni kweli? Hivi vitu vya sirini vya mkeo unakuja kutuletea humu JF?
Nmechekaaa naimagine anavyojikandika uko cjui analala chali anajimanua au anachuchumaa 😂😂😂😂 wanaume ndo sababu Ndio mpo wachacheKiaje?
Yaan yna4: utoke uende sokoni ukanunue vitunguu maji sijui uvikatekate / uvipondeponde kisha uvue nguo zako ujikandike (hukooooo) kisha mimi niwe sababu!?
Duh!!Mimi nilikutana na ndimu wakati nazama chumvini. K ilikua ya ugwadu[emoji23][emoji23][emoji23]
Dah mimi sio mjuzi sana wa hiyo kitu ila nadhani mtu wa kwanza kukupa maelezo ya awali kuhusu hilo ni mkeo.
Ni matumizi mabaya ya vitunguu. Ilitakiwa vitumike kwenye kachumbari [emoji23][emoji23]
Anyway nadhani hiyo ni kwa ajili ya kuurudisha uke kwenye hali yake. Yaani iwe mnato.
Mkuu kuna watu maisha hawajui ni kitu gani. Mahusiano ya mke na mume ni kitu kinaitw bedroom affair huitaji kuitoa nje.Kwanini usimuulize yeye mwenyewe kwanza??
Hivi wewe mkuu umepitia jandoni kweli? Hivi vitu vya sirini vya mkeo unakuja kutuletea humu JF?
Imenibidi nicheke tu, Nmekumbuka mbali sana...Aise ulishawahi kutafuna vitunguu swaumu kilivyo kikali hadi ulimi unahisi utakatika. Sasa huko inakuwaje
Aisee!!!Ndo maana mgandini vitunguu vimepanda bei, kumbe vina kazi nyingi jaman
Mwambie aache haraka...huko ikulu hakutakiwi kuwekwe kitu chochote isipokuwa Dushe pekee...
Atapata kansa ya shingo ya kizazi...