Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
wakuu nisaidieni msaada nina mjomba wangu yeye amemaliza form six na alikuwa akisomea combinationa ya PCM alichokipata kwenye matokeo yaliyotoka hivi majuzi ni Point 20 division four.
Ni wapi naweza mpeleka?msaada wakuu
Ni wapi naweza mpeleka?msaada wakuu