A Level iondolewe ili wanafunzi watoke Form Four moja kwa moja na kusoma kozi husika

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
Bila shaka natumaini mpo salama wakuu.

Moja kwa moja kwenye mada. imegundulika dhahiri shahiri kwamba wanafunzi wanaosoma advance na kujiunga na chuo kikuu wanakuw shallow sana ukicompare na wale waliotoka o levo na kujiunga na diploma.

Kwanini hii levo ya advance isiondolewe ili wanafunzi watoke fom four moja kwa moja na kusomea cozi husika?

Mwanafunzi anaweza kuwa bright na kuwa na malengo mazuri in future lakini, in reality tunaona hii levo ya advance inawapotezea malengo kabisaa.

For example wanafunzi wote wanaosomea PCB, PGM, PCM etc wana malengo mazuri sana in future lakini hii lev inadidimiza sana malengo. Unaweza kumkuta mwanafunzi ana div 1 let say ya point 10 o levo, akifika advance anapwaya na kuangukia poor.. hii ni kwa sababu wanasoma theories nyingi than practicals.

We mtu unasoma theories za Physics, Chemistry na Biology na unatakiwa uzikariri.. et ukishindwa kukariri na kufeli mtihani we mjinga.. iv ni kwelii?

At the same time mwanafunzi huyo angeperekwa diploma na kusomea kozi either engineering or health courses angukuwa expert mzuri tu. Ninasema kwa sababu nina evidence.

Leo hii kuna dogo alipata division four form four akaenda diploma na baadaye Kaunga degree.. leo hii yupo mbali sana, wakat wenzake walioenda advance wakiwa na div 1 & 2 wengine walienda PCM na PCB mpaka leo hii wapo mtaani baada ya kushindwa na matheories za advance tunazoletewa na huyu muhindi aitwaye chand.

Viongozi husika twawaomba ili jambo mliangalie kwa jicho la tatu. Wanafunzi wakimaliza o levo waende wakasomee koz husika ili waweze kuwa expert.

Tanzania we are still lagging behind kielimu. we mwanafunzi anakomaa na kumeza theories nying za huyu jamaa muhindi.. chandi... akishindwa et hajiwezi. Hivi ability of a student is being determined by his/her craming power? Tuzindukeni; et mwanafunzi anamaliza form six na theories nying kichwani zisizomsaidia. hawezi kujiajiri.. hawezi kuziaply, wakati huku mwanafunzi anamaliza kadiploma kake anakuwa na uwezo wa kuajiriwa na kujiajiri maana theories zinakuwa minimized unlike to advanced level.. mbona tunafeli padogo sana?

Ni maoni tu. Samahanini lakini wakuu.

Karibuni kwa uchangiaji na kunikosoa kuhusu hii.
 
Halafu aliwahi tokea mkuu mmoja akasema watu walotokea Dioloma wasiende degree.

Pana ukweli flani hapa,japo watakuja watu kukupinga wakisema kwamba kilaza unajifariji ila ukwel utasemwa tu. Mtu alotokea diploma anakuwa na uwanda mpana zaidi wa kudadavua mambo practically kwamaana anakuwa anasomea kazi moja kwa moja tofauti na mtu ambaye ametokea advance.

Binafsi nilitokea huko diploma na naelewa haya mambo. Mnapo jiunga degree jamaa huwa wana pwaya sana sehemu nyingi. Labda kwa koz nyingine sjui undani wake ila kwa kozi za Biashara mara nyingi walotokea advance watafaulu sanaa somo la hesabu tu ila hayo mengine huwa wapo kawaida sana.

Mimi nilotokea diploma kila somo nakuwa nalielewa kiundani mana nimeanza kulisoma hilo kwa miaka mi3 hutonidanganya kwa lolote. Ila mkifika degree ni lazima lianzwe mwanzo ili wa advance nao waelewe. Sasa unakuta kinachofundishwa ni marudio tu kama kuna utofauti ni mdogo mno unajikuta hutumii nguvu nying kukomaa, watu wa dip hawatmii nguv kukomaa mana kila ktu wanajua, muda mwingi utakuta wanasoma vitu vipya kabisa.

Utawakuta mara nyingi wanashea experience ambazo walikutana nazo wakati wa field. Mfano kuandaa tender document kwa vitendo zaid, annual PP na mengine mengi mpaka wanamaliza chuo wanakuwa mbali sana kiujuzi.

Licha ya hivyo pia field wamefanya sana maana ukitokea dip field utafanya mara mbili na ukiwa mjanja zaid ile likizo umemaliz dip utaend ku volunteer na hapo utaongeza connection zaid na ujuzi zaid. Hapo ni lazima uwe tofauti na mtu alotokea advance.

Wakenya wameliona hili mapema bado sisi tu.

Bt wapo wanaoamini ukitokea advance unakuwa nondo zaid, naamin watakuja kutoa mtazamo wao pia.

Naunga mkono hoja Tanzania tuachane na mfumo wa kwenda Advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu aliwahi tokea mkuu mmoja akasema watu walotokea Dioloma wasiende degree.

Pana ukweli flani hapa,japo watakuja watu kukupinga wakisema kwamba kilaza unajifariji ila ukwel utasemwa tu. Mtu alotokea diploma anakuwa na uwanda mpana zaidi wa kudadavua mambo practically kwamaana anakuwa anasomea kazi moja kwa moja tofauti na mtu ambaye ametokea advance.

Binafsi nilitokea huko diploma na naelewa haya mambo. Mnapo jiunga degree jamaa huwa wana pwaya sana sehemu nyingi. Labda kwa koz nyingine sjui undani wake ila kwa kozi za Biashara mara nyingi walotokea advance watafaulu sanaa somo la hesabu tu ila hayo mengine huwa wapo kawaida sana.

Mimi nilotokea diploma kila somo nakuwa nalielewa kiundani mana nimeanza kulisoma hilo kwa miaka mi3 hutonidanganya kwa lolote. Ila mkifika degree ni lazima lianzwe mwanzo ili wa advance nao waelewe. Sasa unakuta kinachofundishwa ni marudio tu kama kuna utofauti ni mdogo mno unajikuta hutumii nguvu nying kukomaa, watu wa dip hawatmii nguv kukomaa mana kila ktu wanajua, muda mwingi utakuta wanasoma vitu vipya kabisa.

Utawakuta mara nyingi wanashea experience ambazo walikutana nazo wakati wa field. Mfano kuandaa tender document kwa vitendo zaid, annual PP na mengine mengi mpaka wanamaliza chuo wanakuwa mbali sana kiujuzi.

Licha ya hivyo pia field wamefanya sana maana ukitokea dip field utafanya mara mbili na ukiwa mjanja zaid ile likizo umemaliz dip utaend ku volunteer na hapo utaongeza connection zaid na ujuzi zaid. Hapo ni lazima uwe tofauti na mtu alotokea advance.

Wakenya wameliona hili mapema bado sisi tu.

Bt wapo wanaoamini ukitokea advance unakuwa nondo zaid, naamin watakuja kutoa mtazamo wao pia.

Naunga mkono hoja Tanzania tuachane na mfumo wa kwenda Advance.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kijana wangu naapenda sana udaktari.

Nimempanga vya kutosha akimaliza form four nampeleka akasomee kozi yoyote ya afya hata clinical medicine akimaliza hapo atajua mwenyewe akapambane na u C.O wakw kisha niko tayari kumfanyia mipango ya kumtafutia ajira popote akipata atajua mwenyewe atapambana na hali yake.
 
Hii ina ukweli ndani yake....advantage nyngne ya kusoma diploma Ni kwamba utakua marketable zaidi ukimaliza diploma kuliko waliomaliza degree kwasababu serikali yetu inaajiri Sana diplo kuliko degree labda kwa sababu serikali inapenda cheap labour( kwa upande wa afya)
 
Hii ina ukweli ndani yake....advantage nyngne ya kusoma diploma Ni kwamba utakua marketable zaidi ukimaliza diploma kuliko waliomaliza degree kwasababu serikali yetu inaajiri Sana diplo kuliko degree labda kwa sababu serikali inapenda cheap labour( kwa upande wa afya)
Hapo ndo pakuwapiga bao serikali.

Kama una dogo unamuambia aende diploma akasome akitoka hapo anapigana na ajira akipata atajiendeleza mbeleni akishakuwa na kazi atajisomesha na mshahara utapanda tu.

Haya yote ni mambo mazuri ikiwa ajira zipo
 
Usitumie kufeli kwako kufanya maamuzi kwa ajiri ya wengine
Form six is nothing linapokuja suala la knowldege halisi.

Ila likija suala la kuchangamsha ubongo yes.

Haiwezekani PCB form six hauziki sokoni lakini C.O anauzika na kutibu watu.

Sasa hapo form six ina umuhimu gani wakati mtu unaweza kusomea kazi moja kwa moja kutokea form four ?
 
Hata mkisoma ajira zenyewe hazipo, bora ujiendee VETA unapata ujuzi ambao unautumia moja kwa moja kujiajiri.
 
Usitumie kufeli kwako kufanya maamuzi kwa ajiri ya wengine
sawa acha niseme nilifel kwa sababu umesema na haujui unaongea na nani..
sas tuseme tu ukweli mkuu.. unazani kama ulifaulu advance wote wana uwezo huo au nyinyi ndo wale wa feza wa ......
pili.. kama kweli ukipitia advance chamgamoto zake za kumeza theory uliona ni rahic ya kuendeleza advance???
em tukubliaane bac na ukweli..
advance is time consuming huo ndo ukweli ..
 
sawa acha niseme nilifel kwa sababu umesema na haujui unaongea na nani..
sas tuseme tu ukweli mkuu.. unazani kama ulifaulu advance wote wana uwezo huo au nyinyi ndo wale wa feza wa ......
pili.. kama kweli ukipitia advance chamgamoto zake za kumeza theory uliona ni rahic ya kuendeleza advance???
em tukubliaane bac na ukweli..
advance is time consuming huo ndo ukweli ..
Mm nimetafakari sana nimeona kijana wangu asipite A level na ukizingatia kazi anayoipenda ni mambo ya medicine ndo kabisaaa huko ataenda kupoteza muda tu.
 
Kuna kijana wangu naapenda sana udaktari.

Nimempanga vya kutosha akimaliza form four nampeleka akasomee kozi yoyote ya afya hata clinical medicine akimaliza hapo atajua mwenyewe akapambane na u C.O wakw kisha niko tayari kumfanyia mipango ya kumtafutia ajira popote akipata atajua mwenyewe atapambana na hali yake.
Mpeleke dip mkuu, hutojutia na yeye pia hatojutia. Advance michosho tu..Mwisho wa siku ukimpeleka advance akapata two, competition ya vyuo ni mziki mkubwa sana unajikuta umesoma PCB anapata kozi ya tourism .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpeleke dip mkuu, hutojutia na yeye pia hatojutia. Advance michosho tu..Mwisho wa siku ukimpeleka advance akapata two, competition ya vyuo ni mziki mkubwa sana unajikuta umesoma PCB anapata kozi ya tourism .

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri ni kwamba dogo nilimjengea kuwa na malengo hivyo kajitambua mapema sana kwamba anataka kuwa nani.

Nimeshamfahamisha na kumpa mifano kadhaa mwenyewe keshaona lipi achague..
 
Back
Top Bottom