Kwenu wataalam wa magari naomba msaada wa kubaini chanzo cha miguu ya mbele ya probox kutoa mvumo mkubwa kiasi ikifika speed 80 km/h hata redio huwezi kusikiliza.
Tatizo lilianza mwaka mmoja uliopita tukashauriwa kubadili bearings tulifanya hivyo haikusaidia, kisha tukanunua used nacoz complete tukafunga ikatulia kidogo. Ila mwezi uliopita tumebadilisha shock-up tatizo limerudi!!!
Naomba msaada wenu wajuzi nini tatizo na utatuzi wake ni nini?
Asante
Tatizo lilianza mwaka mmoja uliopita tukashauriwa kubadili bearings tulifanya hivyo haikusaidia, kisha tukanunua used nacoz complete tukafunga ikatulia kidogo. Ila mwezi uliopita tumebadilisha shock-up tatizo limerudi!!!
Naomba msaada wenu wajuzi nini tatizo na utatuzi wake ni nini?
Asante